Wazo: Tuwe na watalaam kwenye Forums

Wazo: Tuwe na watalaam kwenye Forums

uko sahihi mkuu,

ila kama huna makosa,unajiamini,kwa nini hili swala la kuwa verified users linawasumbua hivi?

I said its for intergrity and promotion,

kuwa hao proffessionals hawataleta mambo ambayo ni harmful ama uchochezi, na kutumia lugha yenye stara

na pia itakuwa platform nzuri,ya kujulikana kazi zao,ambapo wataweza kufanya consultation nje ya JF(promotion)

tulenge kwenye ku provide a critique,balanced view of bad and good,sio ku criticize tu kila jambo.

Nakupata vizuri, lakini kuna watu hawaelewi na hawataki kukosolewa. Hivyo hata ukiwa na nia nzuri watakutafuta wakushughulikie. Kule FB na Insta umekwisha sikia wanaoshughulikiwa hapa JF kuna kausalama lakini identity zikitoka kunaweza kua na kizaa zaa. Siwatetei wale wanaotaka kulumbana na serikali kwa lugha zisizo faa, lakini genuine advice kwa serikali isiyo sikivu inaweza kusomwa tofauti na wahusika na sababu wana madaraka yasiyo na "kikomo" mambo yanaweza kwenda kombo.
Leo umemsikia spika akimtishia Zitto. Kule kwetu twasema akumulikae mchana usiku......... Serikali hii imesha tuonya tusiijaribu na eti haiendeshwi kwa mtandao.
Kitu kama uchochezi au uzalendo mimi binafsi sipendi kuvisikia kwa sababu kwenye siasa zetu ni upande mmoja tu huamua nani ni mzalendo na nani ni mchochezi. Hivyo pamoja na nia yako nzuri hatuaminiani. Tutawaachia wale majasiri watumie label ya "verified user" katika kuikosoa au kuishauri serikali. Tuliobaki mchango wetu utakiwa nyuma ya key-board hata kama tutatumia lugha isiyo na ukakasi.
 

mkuu Bwanshe56 umeniquote mara tatu,ulitaka kusema nini?
 
Hello JF,

Leo nilikua na wazo,

Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,

Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.

Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,

THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY

tupo, uliza mada husika tutakujibu mkuu
 
mimi nashingilia ushindi wetu tuliopata jana pale darajani 6_0
 
Hivi mnakumbuka siku ya uchaguzi Jamii Forum ilikua under heavy technical attack hadi ikabidi tuhamie Facebook page


Yule atachukua ushauri gani humu
 
Hello JF,

Leo nilikua na wazo,

Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,

Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.

Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,

THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY
Kwa hiyo kudharau wasio verified users poa, kudharau wataalam verified users unapewa ban?
 
sio poa kila upande,

Acha utoto.
Utoto nimeleta mimi au wewe unayejua kwamba sio poa kila upande lakini umeandika upande mmoja tu?

Sentensi yako ulivyoiandika, kwa sisi tunaosoma neno kwa neno halafu tunapitisha sentensi kwenye logical truth tables kuangalia tautology, contradiction etc kisha kuzichorea Venn diagran kuangalia union, intersection, compliment etc, inaweza kutafsirika kama inaruhusu kudharau wasio verified users, ila verified users tu hao wataalamu ndio wasidharauliwe.

Halafu ujue unakataza dharau wakati wewe mwenyewe nimekuuliza swali valid umenidharau kwa kuniambia "acha utoto".

You are contradicting yourself.

Hutaki au unataka dharau?

Unachoandika na unachofanya tofauti.

Zilongwa mbali, zitendwa mbali.
 
Hello JF,

Leo nilikua na wazo,

Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,

Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.

Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,

THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY

Hehehehe,
Wewe mama umetumwa ???
 
Hello JF,

Leo nilikua na wazo,

Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,

Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.

Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,

THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY
Wapo watu wengi na vyombo vingi vinavyotoa ushaur kwa serikali. Sooo JF it cant be

Kumkoma nyani geladi
 
Utoto nimeleta mimi au wewe unayejua kwamba sio poa kila upande lakini umeandika upande mmoja tu?

Sentensi yako ulivyoiandika, kwa sisi tunaosoma neno kwa neno halafu tunapitisha sentensi kwenye logical truth tables kuangalia tautology, contradiction etc kisha kuzichorea Venn diagran kuangalia union, intersection, compliment etc, inaweza kutafsirika kama inaruhusu kudharau wasio verified users, ila verified users tu hao wataalamu ndio wasidharauliwe.

Halafu ujue unakataza dharau wakati wewe mwenyewe nimekuuliza swali valid umenidharau kwa kuniambia "acha utoto".

You are contradicting yourself.

Hutaki au unataka dharau?

Unachoandika na unachofanya tofauti.

Zilongwa mbali, zitendwa mbali.

mmmmnh,

sitaki kuingia kwenye malumbano na wewe Al-Watan ,unajulikana kwa malumbano yasiyoisha,

unapick kitu kidogo sana then ndio unafanya,argument yako,

ningefurahi,kama ungekuja na mawazo tofauti,kama hili wazo linawezekana,ama haliwezekani,sio dharau sijui nini.......................mmmnh

besides,nishasema hao verified users wawatreat watu wengine humu with respect,na wao wapewe heshima yao pale inapobidi,

Atakayevunja sheria apewe ban kama kawaida,
 
Mkuu sidhani kama hata umenielewa,

Najua JF ni ya Great thinkers,

but hili nililopropose ni njia ya ku tap more educated greatthinkers,for the benefit of our society,

ni sawa na kupanga nguo;zile nyeupe unaziweka peke yake,za blue nk
Nafikiri JF ina members wengi wa kada mbalimbali, wengine wako kwenye taasisi na vitengo vya serikali, na ushauri unatolewa sana. JF ni jukwaa huru, serikali ikiona ushauri unaowafaa ichukue.

Msolo
 
mmmmnh,

sitaki kuingia kwenye malumbano na wewe Al-Watan ,unajulikana kwa malumbano yasiyoisha,

unapick kitu kidogo sana then ndio unafanya,argument yako,

ningefurahi,kama ungekuja na mawazo tofauti,kama hili wazo linawezekana,ama haliwezekani,sio dharau sijui nini.......................mmmnh

besides,nishasema hao verified users wawatreat watu wengine humu with respect,na wao wapewe heshima yao pale inapobidi,

Atakayevunja sharia apewe ban kama kawaida,
Ushakubali kwamba kila mtu am treat kila mtu kwa respect, sio tu verified users wataalam, mjadala uliishia hapo.

Kwingine labda uuendeleze wewe.

Hata mimi sitaki kugombana nawe.

Najiandaa kwenda kuhiji sitaki kuharibu udhu wangu hivyoo, sawa?

Unaujua udhu wewe?
 
Huyo rais mwenyewe hana verified id humu sembuse sisi tuwezea wapi mambo ya kupimana mikojo nani anataka
 
Back
Top Bottom