UDSM Alumni
JF-Expert Member
- Jan 25, 2015
- 2,555
- 1,389
utakua jambazi.badilika mkuu.lol[/QUOTE
ni kazi nayo isiyojulikana nawasiwasi nawewe utakua ma....
utakua jambazi.badilika mkuu.lol[/QUOTE
ni kazi nayo isiyojulikana nawasiwasi nawewe utakua ma....
utakua jambazi.badilika mkuu.lol
utakua jambazi.badilika mkuu.lol
Hamna hunter kawaida tuSawa mkuu naona unatutishia amani hunter.
uko sahihi mkuu,
ila kama huna makosa,unajiamini,kwa nini hili swala la kuwa verified users linawasumbua hivi?
I said its for intergrity and promotion,
kuwa hao proffessionals hawataleta mambo ambayo ni harmful ama uchochezi, na kutumia lugha yenye stara
na pia itakuwa platform nzuri,ya kujulikana kazi zao,ambapo wataweza kufanya consultation nje ya JF(promotion)
tulenge kwenye ku provide a critique,balanced view of bad and good,sio ku criticize tu kila jambo.
Hello JF,
Leo nilikua na wazo,
Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,
Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.
Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,
THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY
Hahahahaha! "Sipangiwi"Wewe mdada...umeongea point kidogo ila ulipofika point ya raisi nimeona thread yote ni UPUPU MTUPU
Kwa hiyo kudharau wasio verified users poa, kudharau wataalam verified users unapewa ban?Hello JF,
Leo nilikua na wazo,
Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,
Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.
Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,
THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY
Utoto nimeleta mimi au wewe unayejua kwamba sio poa kila upande lakini umeandika upande mmoja tu?sio poa kila upande,
Acha utoto.
Hello JF,
Leo nilikua na wazo,
Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,
Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.
Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,
THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY
Wapo watu wengi na vyombo vingi vinavyotoa ushaur kwa serikali. Sooo JF it cant beHello JF,
Leo nilikua na wazo,
Wajitokeze kila Forum, watu waliobebea kwenye fani, either kwa Elimu ama Experience, wajiunge as Verified Users. Atakae wadharau au kutumia lugha ya kebehi kwao, apewe ban. Wamwage utaalamu wao,Jukwaa la ma enigneers, madoctors, economists, etc,
Nachotaka kuunda ni Indepent body inayoweza kumsaidia Rais katika Nyanja mbali mbali, sidhani kama huwa anapitia nyuzi zote humu. Ukiweka hao watu unakua umempunguzia mzigo wa kutafuta topics zenye tija, ataenda direct kwa mfano kwa Dr Hamidu au mtaalamu wa maji, Erica.
Hao watu wachochee moto wa Maendeleo. Tena, itawafanye wafahamike zaidi na pengine kupata deals nje ya JF,
THIS HOW JF CAN MAKE BIGGER IMPACT TO THE SOCIETY
Utoto nimeleta mimi au wewe unayejua kwamba sio poa kila upande lakini umeandika upande mmoja tu?
Sentensi yako ulivyoiandika, kwa sisi tunaosoma neno kwa neno halafu tunapitisha sentensi kwenye logical truth tables kuangalia tautology, contradiction etc kisha kuzichorea Venn diagran kuangalia union, intersection, compliment etc, inaweza kutafsirika kama inaruhusu kudharau wasio verified users, ila verified users tu hao wataalamu ndio wasidharauliwe.
Halafu ujue unakataza dharau wakati wewe mwenyewe nimekuuliza swali valid umenidharau kwa kuniambia "acha utoto".
You are contradicting yourself.
Hutaki au unataka dharau?
Unachoandika na unachofanya tofauti.
Zilongwa mbali, zitendwa mbali.
Nafikiri JF ina members wengi wa kada mbalimbali, wengine wako kwenye taasisi na vitengo vya serikali, na ushauri unatolewa sana. JF ni jukwaa huru, serikali ikiona ushauri unaowafaa ichukue.Mkuu sidhani kama hata umenielewa,
Najua JF ni ya Great thinkers,
but hili nililopropose ni njia ya ku tap more educated greatthinkers,for the benefit of our society,
ni sawa na kupanga nguo;zile nyeupe unaziweka peke yake,za blue nk

Ushakubali kwamba kila mtu am treat kila mtu kwa respect, sio tu verified users wataalam, mjadala uliishia hapo.mmmmnh,
sitaki kuingia kwenye malumbano na wewe Al-Watan ,unajulikana kwa malumbano yasiyoisha,
unapick kitu kidogo sana then ndio unafanya,argument yako,
ningefurahi,kama ungekuja na mawazo tofauti,kama hili wazo linawezekana,ama haliwezekani,sio dharau sijui nini.......................mmmnh
besides,nishasema hao verified users wawatreat watu wengine humu with respect,na wao wapewe heshima yao pale inapobidi,
Atakayevunja sharia apewe ban kama kawaida,