wazo lako

wazo lako

Dah, kweli wewe bado unakuwa. Nikinywa huo uji mwezi mmoja tu nahamia rehabilitation center. Bora hata mchemsho wa mbuzi kuliko hiyo makitu. Haya bwana, enjoy.
Mie, mama yangu kaniandali uji wa soya, mixer karanga, maziwa, mchele, unga wa samaki aina ya sato na asali. I love mama wangu gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
full afya, pasipo kunenepa. Badae ninywe maji yangu lita 2, then nikalale lisaa limoja. gfsonwin anajua kutulea watoto wake
Dah, kweli wewe bado unakuwa. Nikinywa huo uji mwezi mmoja tu nahamia rehabilitation center. Bora hata mchemsho wa mbuzi kuliko hiyo makitu. Haya bwana, enjoy.
 
Last edited by a moderator:
Dah, kweli wewe bado unakuwa. Nikinywa huo uji mwezi mmoja tu nahamia rehabilitation center. Bora hata mchemsho wa mbuzi kuliko hiyo makitu. Haya bwana, enjoy.

Aisee King'asti rehabilitation centre huko watakukimbia maanake utakuwa una fujo sana
 
Last edited by a moderator:
mawazo gani hayo funguka,kama unataka ndoa hapa zipo hata za mkeka,kama unahitaji kukaguliwa mpekuzi yakinifu yupo,bar kila siku zinafunguliwa mpya humu yaaan we unashidwaje jilazimishe hivyo hivyo tu!makanisa misikiti yapo
 
Back
Top Bottom