Wazo la uwekezaji

Dit000

JF-Expert Member
Apr 21, 2017
656
856
Habari nimepata wazo la uwekezaji.

Nimewaza hivi, nikiwa na eneo kubwa lililokandokando ya makazi ya watu halafu nikatafuta wataalamu wa ujenzi wakafanya usanifu wa shimo kubwa sana la kutunzia uchafu wa chooni .

Kitu cha pili natakiwa kununua gari la kunyonya uchafu kwenye septic tank kutoka kwenye majumba ya watu.

Nitakachokuwa nafanya natafuta mashimo ya choo yaliyojaa kutoka kwenye makazi ya watu hasa mjini then nayapeleka kwenye storage tank.

Sasa najiuliza je;
1.Serikari itaniruhusu?
2.Utaratibu gani wa kufuata ili nianze kazi?
3.Ikitokea storage tank limejaa, je uchafu nitaufanyeje ili uyeyuke?

Naombeni mawazo yenu ndugu zangu.
 
habari nimepata wazo la uwekezaji.

nimewaza hivi, nikiwa na eneo kubwa lililokandokando ya makazi ya watu halafu nikatafuta wataalamu wa ujenzi wakafanya usanifu wa shimo kubwa sana la kutunzia uchafu wa chooni .

kitu cha pili natakiwa kununua gari la kunyonya uchafu kwenye septic tank kutoka kwenye majumba ya watu.

nitakachokuwa nafanya natafuta mashimo ya choo yaliyojaa kutoka kwenye makazi ya watu hasa mjini then nayapeleka kwenye storage tank.

sasa najiuliza je;
1.serikari itaniruhusu?
2.utaratibu gani wa kufuata ili nianze kazi?
3.ikitokea storage tank limejaa, je uchafu nitaufanyeje ili uyeyuke?

naombeni mawazo yenu ndugu zangu.
Kwa Dar NENDA DAWASA WAO NDO WENYE HILO JUKUMU.
 
Haina haja hiyo biashara inafanywa kwa miaka mingi wanamwaga baharini na Kuna visima vya serikalin unlipiaukimwaga u hafu kma unataka kata leseni nunua tu mgari ya kunyonya uchfu seh za kumwaga zipo
 
Back
Top Bottom