MO11
JF-Expert Member
- Mar 23, 2014
- 19,553
- 41,468
Aisee nataka na mimi ni experience kidogo
experience inapatikana tukiwa wote nguvu zangu ila tunafaidika wote au sio ??
Aisee nataka na mimi ni experience kidogo
experience inapatikana tukiwa wote nguvu zangu ila tunafaidika wote au sio ??
Sawa ila na hela inanipa pia
mpaka atmcard yangu unayo leo tarehe 30 unasubiri nini ?
Haujaingia bado
nivumilie si unajua mkopo wanachukua chao ppf wanachukua chao watoto wangu wanne nawalea mama tofauti wanachukua chao kupitia uswtawi wa jamii bado madeni nilikopa nilivyokutoa out madeni dereva wa boda boda kodi ya nyumba
nahisi imeinia ila imeisha
vip unaweza kuniazima hela kidogo ?
Mwenzio mambo magumu
Its over am not your type
dear na wewe hutaniwi ??
sitaki utani mwee
Hivi hamnaga nguvu za kike wajamenj?
mimi na wewe kama pipi na mate weekend hii nakutoa out hong kong
Mkuu nasikia sikuiz kuna BG-G za kichina, mwanamke akitafna iyo, siku iyo utaimba halleluya maana anakuwa na hamu zaid ya punda
Bas hapo ndio shida inapopatikana!
Kama uliakua umechepuka na watu washatafuna big g utakojolea miguu iyo siku!