Tarime one
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 2,246
- 1,740
Bora uishiwe fedha utatafuta zingine kuliko kuishiwa nguvu za kiume, maana utamuomba nani kila mmoja ana kazi nazo,na alizonazo hazimtoshi kwa matumizi yake binafsi, ogopa kuishiwa hiyo kitu mzee!!