JiweLinaloishi
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 3,737
- 2,139
kwenye show mtu anafia kwapani.
hahahahaha gonga moja... then naweka kiganja kulinda....
kwenye show mtu anafia kwapani.
Ukifika Chalinze tu unabadlishwa. Ukifka Kibaha unakuwa kigoli
kelewuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mbavu zangu mie
Sitaki kuamini ni mbavu tu pekee! Zilizovaibreti, patakua tu na viungo vingine hujavitaja .
Nimekusoma, nimekuelewa baby...........hahahaha baby Asprin, Nicas mtei,Mentor,Kipipi uwiiiiiiiii mjini shughuli
Nimekusoma, nimekuelewa baby...........
kelewuiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
mbavu zangu mie
Rabheka.
u hali gani wewe?
sijambo.vipi wewe.umeamka poa?hujaenda church leo?