Wazo la kifursa : Pesa kupotea mtaani, inaweza kuwa neema kwetu wengine?

sonofobia

JF-Expert Member
Jun 21, 2015
384
2,526
Pesa imepungua mtaani ilo halina mjadala.. Hali ngumu mtaani ilo halina mjadala.. Watu wanaisoma namba ilo halina mjadala.

Lakini pia lazima tukubaliane sio kila mtu pesa imepungua mfukoni.. Sio kila mtu ana hali ngumu inayosemwa.. Sio kila mtu anasoma namba.


Nachotaka tushee ni namna gani hiyo hali inaweza kuwa fursa kwa wengine?

Mfano sisi watumishi haswa wa sekta binafsi, huu upunguaji wa pesa kwenye mzunguko haujatugusa kihivyo na pengine tunausoma tu mtandaoni au tunashuudia tu kwa wengine mtaani.

Let's say ulikuwa unapokea million 3, 2 or 1 per month, still pesa ni ile ile unapata mpk leo . Hapa huisomi namba.

So sisi wa dizain hii tunaweza kutokaje?
Wakati wetu pengine ni huu, nakumbuka hapo nyuma kidogo ilikuja trend ya watu kukimbia ajira na kutubeza tuliokomaa kwenye vibarua vyetu.

Mimi binafsi naona hii awamu ndio awamu yetu ya neema tukiitumia vizuri.
Wenzetu walifanya kufuru sana mpaka kufikia kuiita shilingi laki moja eti si pesa, tusirudie ilo kosa.

Wakati wengine wakilalamika kuhusu serikali, wengine wakitukana mitandaoni ili wapate likes..

Sisi ni wakati wetu kununua ardhi kwa bei ya kulalia.

Sisi ni wakati wetu kuanzisha makampuni safi yanayofata utaratibu bila kutegemea upigaji ata kama ni vikampuni vidogo.

Ni wakati wetu wa kwenda kwenye uzalishaji zaidi maana uchuuzi kwa sasa ni gharama, kuingiza kontena la soksi au sidiria ni bora ufanye processing ya unga wa dona.


Kwa wenzangu mnaoona fursa kwenye hii awamu 'ngumu' ebu tushee fursa hapa.




Nb :huu sio uzi wa malalamiko wala frustrations za kisiasa. Ni uzi wa kibepari survive for the fittest.
 
Pesa haijapungu mtaani ila ni njia tu ambazo pesa ilikuwa inazitumia kukufikia ndio zimebadirika, ukibadiri njia ulizokuwa unatumia kuipata lazima uikamate tu!
[HASHTAG]#swizz[/HASHTAG] me
 
Hahahaha unachosema ni kweli ila sasa kuanzisha kampuni huku umeajiriwa sekta binafsi changamoto yake ni kwamba huwezi isimamia hio biashara vizuri maana kazini kutoka ni saa 11 jioni...
Ni vizuri kuanzisha kitu unachiweza kusimamia kutokana na nature ya kax yako.
 
Pesa haijapungu mtaani ila ni njia tu ambazo pesa ilikuwa inazitumia kukufikia ndio zimebadirika, ukibadiri njia ulizokuwa unatumia kuipata lazima uikamate tu!
[HASHTAG]#swizz[/HASHTAG] me
Pesa haipo watu wanalalamika wanaililia serikali badala ya kujiongesa.
 
Hahaha,wanaolalamika pesa kupungua wengi wao ni wale wacheza pool table saa 1:30 asubuhi.kwa wachapa kazi pesa mbona bwerere!
 
Km pesa hakuna mtaan ukifungua biashara ambayo haiusiki na mahitaj ya lzm unanafas kubwa ya kupata hasara na ndo mana watu wengi wamezuia pesa zao zisizunguke ili kipisha hali itengamae
 
Pesa haijapungu mtaani ila ni njia tu ambazo pesa ilikuwa inazitumia kukufikia ndio zimebadirika, ukibadiri njia ulizokuwa unatumia kuipata lazima uikamate tu!
[HASHTAG]#swizz[/HASHTAG] me
Pesa haipo watu wanalalamika wanaililia serikali badala ya kujiongesa.
 
Hahaha,wanaolalamika pesa kupungua wengi wao ni wale wacheza pool table saa 1:30 asubuhi.kwa wachapa kazi pesa mbona bwerere!
mkuu pesa inapatikana kwa kazi ngumu kwa viofisi sijui visaluni viduka vya urembo watu hawana habar navy pesa ngumu kuipata
 
Huu NI wakati Mzuri wa kununua nyumba za kupangisha Na mashamba Kwa bei powa kabisa.Vile vile ukiwa Na pesa mfukoni unaweza nunua vitu vingi maana ma banki hayakopeshi Na wanadai pesa zao Kwa wale jamaa wa ujanja ujanja.Wanauza nyumba Na magari bei NI bure kabisa.
Huu NI wakati wa fursa zunguka mitaani unashangaa.Kumbuka wale jamaa wa Bandari,TRA Na Uhamiaji wengi wako jela Na wengine wako mitaani Kwa hiyo LAKI NI PESA NDEFU Na ukiwa Na MAMILION utaipenda Bongo.
 
Pesa imepungua mtaani ilo halina mjadala.. Hali ngumu mtaani ilo halina mjadala.. Watu wanaisoma namba ilo halina mjadala.

Lakini pia lazima tukubaliane sio kila mtu pesa imepungua mfukoni.. Sio kila mtu ana hali ngumu inayosemwa.. Sio kila mtu anasoma namba.


Nachotaka tushee ni namna gani hiyo hali inaweza kuwa fursa kwa wengine?

Mfano sisi watumishi haswa wa sekta binafsi, huu upunguaji wa pesa kwenye mzunguko haujatugusa kihivyo na pengine tunausoma tu mtandaoni au tunashuudia tu kwa wengine mtaani.

Let's say ulikuwa unapokea million 3, 2 or 1 per month, still pesa ni ile ile unapata mpk leo . Hapa huisomi namba.

So sisi wa dizain hii tunaweza kutokaje?
Wakati wetu pengine ni huu, nakumbuka hapo nyuma kidogo ilikuja trend ya watu kukimbia ajira na kutubeza tuliokomaa kwenye vibarua vyetu.

Mimi binafsi naona hii awamu ndio awamu yetu ya neema tukiitumia vizuri.
Wenzetu walifanya kufuru sana mpaka kufikia kuiita shilingi laki moja eti si pesa, tusirudie ilo kosa.

Wakati wengine wakilalamika kuhusu serikali, wengine wakitukana mitandaoni ili wapate likes..

Sisi ni wakati wetu kununua ardhi kwa bei ya kulalia.

Sisi ni wakati wetu kuanzisha makampuni safi yanayofata utaratibu bila kutegemea upigaji ata kama ni vikampuni vidogo.

Ni wakati wetu wa kwenda kwenye uzalishaji zaidi maana uchuuzi kwa sasa ni gharama, kuingiza kontena la soksi au sidiria ni bora ufanye processing ya unga wa dona.


Kwa wenzangu mnaoona fursa kwenye hii awamu 'ngumu' ebu tushee fursa hapa.




Nb :huu sio uzi wa malalamiko wala frustrations za kisiasa. Ni uzi wa kibepari survive for the fittest.
sawa mshahara ni uleule vp allowance na trip za hapa na pale nazo hazijapungua huko private sector!!
 
Hahahaha unachosema ni kweli ila sasa kuanzisha kampuni huku umeajiriwa sekta binafsi changamoto yake ni kwamba huwezi isimamia hio biashara vizuri maana kazini kutoka ni saa 11 jioni...
Jumatatu hadi jumamosi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom