Wazo la biashara kwa 100m

Rwaz

JF-Expert Member
May 3, 2013
1,970
3,325
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
 
Sipo Dar, sipo TZ hivyo sipo qualified na posho ya kikao 😄, lakini kuna projects mbili, utachagua moja nadhani ni most promising kwa mtaji huo. Thou, for manufacturing industry, don't expect quick returns. Nicheck private.
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja. Posho ya kikao nalipa.
Wazo la takangumu kuzigeuza mbolea. Ukiliafiki nitakupa dondoo
 
Sipo Dar, sipo TZ hivyo sipo qualified na posho ya kikao 😄, lakini kuna projects mbili, utachagua moja nadhani ni most promising kwa mtaji huo. Thou, for manufacturing industry, don't expect quick returns. Nicheck private.
Habar ndugu. Kwanza niwie radhi kwa neno la posho ya kikao limeleta sura ya kujimwambafai na kukosa humbleness, na nimefuta tayar, umenisuta kwa akili.
Pili, naomba idea ambayo ni sustainable. Kwa vile itakuwa kwa mfumo wa kampun uwe shareholder.
 
Naanza kupanda maharage ekari 500 Simanjiro nategemea kuvuna magunia 1500 minimum baada ya kuhifadhi kwa cost ya 15k kwa gunia ntauza mwezi February kwa 250k kwa gunia. Gharama ya kutunza ekari moja ni 150k. Achana na kuwekeza mijini njoo uvune faida rahisi shambani. BTW Niko Dar ila nalima huko na next week naweka kambi shambani.’
 
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
Nenda Morogoro, possibly Mlimba au maeneo mengine yanayolima mchele. Nunua mchele weka stock. Ndani ya miezi kadhaa tu, possibly baada ya miezi sita, hiyo mil 100 itakuwa imegeuka na kuwa mil 300!. Kama sivyo, basi the minimum ni mil 250+
Ubarikiwe
 
Njoo Kigoma nunua tangawizi mbichi kuanzia mwezi wa sita kwa Tshs 400 kwa kilo, kata kwa ajili ya kukausha mpaka mwezi wa Tisa then utaamua uuze kwa kati ya 1500/= mpaka2300/= kwa kilo au subiri mwezi wa pili uuze 3500/= kwa kilo.Huhitaji kusafirisha,leseni wala ushuru wa aina yoyote bali lorry linakufata popote ulipostore mzigo wako. Tangawizi kavu inatafutwa nyumba kwa nyumba na matajiri toka Burundi,Kenya,Rwanda na wenyeji pia wanojua masoko zaidi ndani na nje ya nchi. Wekeza hata million 40 tu utanishukuru badae utakapopata zaidi ya million mia moja ndani ya muda mfupi.Naongea kwa uzoefu mkubwa sana nikiwa eneo husika mpaka sasa na Mali bado inatafutwa kwa kasi ya ajabu sana mpaka Leo.Gharama ni turubai za kuanikia na pesa ya kuwalipa wakataj 4000/= kwa gunia la debe kumi ambalo linabeba zaidi ya kilo 150.mzigo unaletewa popote unapofanyia shughuli zako kwa gharama ya mkulima wewe kazi yako ni kusoma mzani tu. Kipindi hicho tangawizi ni ya kutosha hata ukihitaji tani 100000 unapata ndani ya siku chache tu.
Watu wanapiga pesa si kawaida huku. Fanya research then ukiridhika uamzi ni juu yako.
 
Njoo Kigoma nunua tangawizi mbichi kuanzia mwezi wa sita kwa Tshs 400 kwa kilo, kata kwa ajili ya kukausha mpaka mwezi wa Tisa then utaamua uuze kwa kati ya 1500/= mpaka2300/= kwa kilo au subiri mwezi wa pili uuze 3500/= kwa kilo.Huhitaji kusafirisha,leseni wala ushuru wa aina yoyote bali lorry linakufata popote ulipostore mzigo wako. Tangawizi kavu inatafutwa nyumba kwa nyumba na matajiri toka Burundi,Kenya,Rwanda na wenyeji pia wanojua masoko zaidi ndani na nje ya nchi. Wekeza hata million 40 tu utanishukuru badae utakapopata zaidi ya million mia moja ndani ya muda mfupi.Naongea kwa uzoefu mkubwa sana nikiwa eneo husika mpaka sasa na Mali bado inatafutwa kwa kasi ya ajabu sana mpaka Leo.Gharama ni turubai za kuanikia na pesa ya kuwalipa wakataj 4000/= kwa gunia la debe kumi ambalo linabeba zaidi ya kilo 150.mzigo unaletewa popote unapofanyia shughuli zako kwa gharama ya mkulima wewe kazi yako ni kusoma mzani tu. Kipindi hicho tangawizi ni ya kutosha hata ukihitaji tani 100000 unapata ndani ya siku chache tu.
Watu wanapiga pesa si kawaida huku. Fanya research then ukiridhika uamzi ni juu yako.
Kigoma sehemu gani
 
Njoo Kigoma nunua tangawizi mbichi kuanzia mwezi wa sita kwa Tshs 400 kwa kilo, kata kwa ajili ya kukausha mpaka mwezi wa Tisa then utaamua uuze kwa kati ya 1500/= mpaka2300/= kwa kilo au subiri mwezi wa pili uuze 3500/= kwa kilo.Huhitaji kusafirisha,leseni wala ushuru wa aina yoyote bali lorry linakufata popote ulipostore mzigo wako. Tangawizi kavu inatafutwa nyumba kwa nyumba na matajiri toka Burundi,Kenya,Rwanda na wenyeji pia wanojua masoko zaidi ndani na nje ya nchi. Wekeza hata million 40 tu utanishukuru badae utakapopata zaidi ya million mia moja ndani ya muda mfupi.Naongea kwa uzoefu mkubwa sana nikiwa eneo husika mpaka sasa na Mali bado inatafutwa kwa kasi ya ajabu sana mpaka Leo.Gharama ni turubai za kuanikia na pesa ya kuwalipa wakataj 4000/= kwa gunia la debe kumi ambalo linabeba zaidi ya kilo 150.mzigo unaletewa popote unapofanyia shughuli zako kwa gharama ya mkulima wewe kazi yako ni kusoma mzani tu. Kipindi hicho tangawizi ni ya kutosha hata ukihitaji tani 100000 unapata ndani ya siku chache tu.
Watu wanapiga pesa si kawaida huku. Fanya research then ukiridhika uamzi ni juu yako.
Aisee..
Kigoma wapi?
Imekaa vzr, ila uwe na muda wa kukaa sana huko!
 
Nenda Morogoro, possibly Mlimba au maeneo mengine yanayolima mchele. Nunua mchele weka stock. Ndani ya miezi kadhaa tu, possibly baada ya miezi sita, hiyo mil 100 itakuwa imegeuka na kuwa mil 300!. Kama sivyo, basi the minimum ni mil 250+
Ubarikiwe
Amekuambia kuzalisha sio uchuzi,huu ni uchuzi.
 
Njoo Kigoma nunua tangawizi mbichi kuanzia mwezi wa sita kwa Tshs 400 kwa kilo, kata kwa ajili ya kukausha mpaka mwezi wa Tisa then utaamua uuze kwa kati ya 1500/= mpaka2300/= kwa kilo au subiri mwezi wa pili uuze 3500/= kwa kilo.Huhitaji kusafirisha,leseni wala ushuru wa aina yoyote bali lorry linakufata popote ulipostore mzigo wako. Tangawizi kavu inatafutwa nyumba kwa nyumba na matajiri toka Burundi,Kenya,Rwanda na wenyeji pia wanojua masoko zaidi ndani na nje ya nchi. Wekeza hata million 40 tu utanishukuru badae utakapopata zaidi ya million mia moja ndani ya muda mfupi.Naongea kwa uzoefu mkubwa sana nikiwa eneo husika mpaka sasa na Mali bado inatafutwa kwa kasi ya ajabu sana mpaka Leo.Gharama ni turubai za kuanikia na pesa ya kuwalipa wakataj 4000/= kwa gunia la debe kumi ambalo linabeba zaidi ya kilo 150.mzigo unaletewa popote unapofanyia shughuli zako kwa gharama ya mkulima wewe kazi yako ni kusoma mzani tu. Kipindi hicho tangawizi ni ya kutosha hata ukihitaji tani 100000 unapata ndani ya siku chache tu.
Watu wanapiga pesa si kawaida huku. Fanya research then ukiridhika uamzi ni juu yako.
Huu ni uchuzi sio uzalishaji,jamani someni vizuri mada kabla ya kukurupuka kutoka huko ulipo Kakonko.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom