Rwaz
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 1,970
- 3,325
Wadau wanaoamini katika ubia natafuta wazo la biashara na uwekezaji usiozid milion 100.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.
Nina parameters zangu
1. Mwenye wazo awe shareholder wa biashara yenyewe hata kama hana mtaji wa pesa. Akili ni mtaji mkubwa
2. Biashara iwe ya uzalishaji wa product flani na sio biashara ya kununua na kuuza
3. Uzalishaji uwe dsm hata kama malighafi inatoka popote
4. Bidhaa iwe na faida inayodhirika na sio faida mtambuka. Kuwepo na uhitaji kidogo wa kusimamiana na auditing rahisi
5. Isiwe bidhaa ya msimu wala inayoleta faida kimagumashi. Isilete mgogoro na TRA.
Wazo zuri tutaanza kikao mara moja.