Wazo: Imeundwa kuifuta Chadema

Wazo: Imeundwa kuifuta Chadema

Ni kweli hao tume watakuja na taarifa kwmb chadema ndo waliopanga maandamano halafu ifutwe kama mapendekezo bt hawawezi kuifuta hawataweza abadani wangeshaifuta ktambo sn ila kwasasa hawana ubavu huo maana wameshajua bila chadema kwny uchaguz hawatoboi si unaona wanavyoweweseka na utawala wao wamejfunza kwmb chadema na ccm ni kama russia na USA hakuna wakuruhusu makabiliano krahisi wote ni ma giant wakiifuta bs wale watanganyika vijana wenye imani na chadema ni rahis sn kuingia mstuni yan ni kugusa tu ukjumlisha na yale ya mo29 patachmbka.
 
Ninachoelewa tume yao itakuja na mapendekezo ya kuifungulia kesi chadema na viongoz bnafs wa chadema sasa hzo kesi ztakuwa na mambo kadhaa ikiwemo chadema kutofanya siasa mpk kesi iishe, viongoz kutojihusisha na siasa mpk kesi iishe hz kesi zlizopo naona zmefka mwsho ztafutwa sku si nyng ksha tume ndo wataleta kesi mpya ambazo uwenda ztachukua hata miaka 4 kuisha lengo ni kuzuia harakati za chadema na akna heche ili mnywa damu atawale kwa utulivu bila bughuza mpk amalize miaka 5, bt ccm ndo imefka mwsho mbnu yao 1 tu ndo imebaki ya mahakama maana uko waamuz wote ni makada wa ccm hii ikiisha hawana jipya tn watapgwa mapema sn, mbnu ya kura, polisi imeisha kwny mo29 hawawez itumia tena maana imeshashndwa kuwasaidia na matokeo ya mbnu kura fake na polisi ndo vnawatesa kwasasa, mbnu ya kuitenga chadema na kuipuuza nayo imeisha, mbnu ya kumtumia mbowe holaaaa..
 
Kama wao wanadhani tatizo ni CHADEMA na siyo wao kutotenda haki, kutoheshimu katiba, kushindwa kudeliver kwenye uchumi basi wacha wajidanganye kuifuta hiyo CHADEMA halafu wadhani kuwa wametatua tatizo. watakutana na mamilioni ya vijana waliokata tamaa ambao hakuna force ya kuwatuliza ndo watajua kuwa kumanage opposition ni heri kuliko kuifuta kabisa.

Walifuta kanisa la Gwajima wakakutana na waumini kitaa. Sasa wacha waifute CHADEMA then waje wakutane na watu wenye mawazo kama ya kichademachadema mtaani.
 
Kwamba bado wanatafuta kuwasingizia chadema japokuwa viongoz wake walikuwa ndani?
Mnajitahidi kuitenganisha chadema na oktoba 29,lakini ukweli mnaujua,na wakifuta huo upuuzi litakua jambo la maana sana,bila no reforms no election, tukiwashe pasikalike na tutazuwia uchaguzi by any means pasingekua na kilichotokea
 
Mnajitahidi kuitenganisha chadema na oktoba 29,lakini ukweli mnaujua,na wakifuta huo upuuzi litakua jambo la maana sana,bila no reforms no election, tukiwashe pasikalike na tutazuwia uchaguzi by any means pasingekua na kilichotokea
Blah blah blah story nyingi

Chama kilioigwa stop na mahakama, viongoz wakawekwa ndani kwa kesi mbali mbali . All yote wanafanyiwa kabla ya oct 29

Halaf unakuja hapa una facts huna point yoyote, eti ukweli sijui umefanyaje

Huu si muda wa kusikiliza hadithi na propaganda

No room for excuse bro
 
Blah blah blah story nyingi

Chama kilioigwa stop na mahakama, viongoz wakawekwa ndani kwa kesi mbali mbali . All yote wanafanyiwa kabla ya oct 29

Halaf unakuja hapa una facts huna point yoyote, eti ukweli sijui umefanyaje

Huu si muda wa kusikiliza hadithi na propaganda

No room for excuse bro
Hizi ndiyo blah blah
 
CHADEMA haiwezi kufutika japokuwa kuna watu ndani ya CDM mule mule wanajitahidi kukibomoa chama na kufanya kipotee kabisa

Heche hatoshi peke yake bila Lissu
 
Kuua upinzani rasmi ni kufungua milango kwa upinzani usio rasmi na huu ni hatari sana , kama hawakupata funzo kwa yaliyotokea 29 October 2025 basi wajaribu huo usenge wao waone. Waliipiga ban Chadema kufanya siasa hata press conference hawawezi kufanya nao Chadema wakakaa pembeni lakini upinzani usio rasmi ukachukua nafasi ya Chadema.
 
Ni kweli hao tume watakuja na taarifa kwmb chadema ndo waliopanga maandamano halafu ifutwe kama mapendekezo bt hawawezi kuifuta hawataweza abadani wangeshaifuta ktambo sn ila kwasasa hawana ubavu huo maana wameshajua bila chadema kwny uchaguz hawatoboi si unaona wanavyoweweseka na utawala wao wamejfunza kwmb chadema na ccm ni kama russia na USA hakuna wakuruhusu makabiliano krahisi wote ni ma giant wakiifuta bs wale watanganyika vijana wenye imani na chadema ni rahis sn kuingia mstuni yan ni kugusa tu ukjumlisha na yale ya mo29 patachmbka.
IMG_20251224_112011.jpg

Iamini tume mkuu peleka video za mauaji ulizo nazo
 
Back
Top Bottom