1. Haiwezekani!! kama wangetaka kuifuta chadema wangeshafanya zamani sana, mbona kwa sasa wamekizuia kisifanye shughuli yoyote bila sababu za msingi? So haihitaji kamati iundwe ili kujustify kukifuta.Muda utaongea.............,
Spacetime kama alivyosema Albert Einstein
CCM imeshazikwa na wananchiNinachoelewa tume yao itakuja na mapendekezo ya kuifungulia kesi chadema na viongoz bnafs wa chadema sasa hzo kesi ztakuwa na mambo kadhaa ikiwemo chadema kutofanya siasa mpk kesi iishe, viongoz kutojihusisha na siasa mpk kesi iishe hz kesi zlizopo naona zmefka mwsho ztafutwa sku si nyng ksha tume ndo wataleta kesi mpya ambazo uwenda ztachukua hata miaka 4 kuisha lengo ni kuzuia harakati za chadema na akna heche ili mnywa damu atawale kwa utulivu bila bughuza mpk amalize miaka 5, bt ccm ndo imefka mwsho mbnu yao 1 tu ndo imebaki ya mahakama maana uko waamuz wote ni makada wa ccm hii ikiisha hawana jipya tn watapgwa mapema sn, mbnu ya kura, polisi imeisha kwny mo29 hawawez itumia tena maana imeshashndwa kuwasaidia na matokeo ya mbnu kura fake na polisi ndo vnawatesa kwasasa, mbnu ya kuitenga chadema na kuipuuza nayo imeisha, mbnu ya kumtumia mbowe
holaaaa..
Kwamba wao tume hawakuwepo nchini siku za mauaji ama namna Gani? Hakuna wasichokijua waache kutupotezea muda. Wao waandike walichokiona, kukisikia na kushuhudia kwani hata aliyewatuma anajua Kila tukio.View attachment 3519876
Iamini tume mkuu peleka video za mauaji ulizo nazo
Yes! Wale ni mashetani!Kwamba bado wanatafuta kuwasingizia chadema japokuwa viongoz wake walikuwa ndani?
CHADEMA sio kama itafutwa, bali maono ya Magufuli ndio yanatimia. CHADEMA itakufa yenyewe.Muda utaongea.............,
Spacetime kama alivyosema Albert Einstein
Mbona viongozi wote walikuwa ndani Sheikh, muda gani wakihamisha maandamano? CCM ni majitu mapumbavu sasa hivi yanatapatapa! Kuifuta CHADEMA vijana watawatoa madarakani! Imegundulika kwamba ccm haina watu!Mnajitahidi kuitenganisha chadema na oktoba 29,lakini ukweli mnaujua,na wakifuta huo upuuzi litakua jambo la maana sana,bila no reforms no election, tukiwashe pasikalike na tutazuwia uchaguzi by any means pasingekua na kilichotokea
Akili kisoda!CHADEMA sio kama itafutwa, bali maono ya Magufuli ndio yanatimia. CHADEMA itakufa yenyewe.
Kama waasisi wake na mwenyekiti aliyekuwa mwenye kiti kwa zaidi ya miaka 20, katolewa katika uongozi kwa matusi katika kampeni za uchaguzi wa M/Kiti. Na toka atoke yupo kimya mpaka leo.
HIZI NDIO ISHARA YA CHADEMA KUFA YENYEWE. Kinachoendelea ni kutapatapa tu.
Nakazia tu.Njia ya uhakika ya kuwapambania GEN Z ni kuhakikisha , tunawazuia kufanya vurugu na maandamano ili wasiuliwe na kupata ulemavu au kuishia magerezani Kama sisi tulivyoishi na kuwaona wajukuu na wao wanabidi kuishi sisi watu wazima tuache ubinafsi mbona watoto wetu tunawalinda na hawakuuliwa ile trh 29/10 iweje tupende kuona watoto wa wenzetu tukiwatuma barabarani wazazi tukatae hii dhambi