Wenye kuleta udini wana pesa uswis, watoto wanasoma ulaya/marekani, wakiumia wanatibiwa ulaya, wana ulinzi wa kutosha, wana mabunduki vita ikitokea- e mungu epusha mbali sisi waja wakoLeo hii viongozi hao wadini wasema ccm ni chama cha waislamu. Alianzisha kikwete acha waendelee