Waziri wa Tamisemi tazama Rorya.

jaffari yogo

JF-Expert Member
Apr 3, 2014
685
148
Mheshiwa waziri habari za kutwa. Mh. Katika wilaya ya Rorya baadhi ya vijiji wanatozwa pesa za madawati. Ukiuliza mtendaji wa kijiji cha Bwiri kata Bukura Tarafa ya Nyancha anasema wewe muuliza swali hujasoma halafu kama umeonewa ukashitaki mahakamani au umpigie Rais simu kwa madai kuwa ni agizo la mkuu wa wilaya ya Rorya. Tunaomba msaada wako tafadhali.
 
Vitu vingine msisubiri serikali changeni mtengeneze madawati ya watoto wenu ilimradi pesa mnayotoa iandikwe ili mwisho wa siku isomwe kwenye mapato na matumizi ya kijiji husika ama shuleni kati ya wazazi na bodi ya shule..mkisema msubiri serikali hi ya mwendokasi mtaishia kulalamika au mkapewa madawati lakini yasikidhi idadi ya wanafunzi waliopo
 
Mheshiwa waziri habari za kutwa. Mh. Katika wilaya ya Rorya baadhi ya vijiji wanatozwa pesa za madawati. Ukiuliza mtendaji wa kijiji cha Bwiri kata Bukura Tarafa ya Nyancha anasema wewe muuliza swali hujasoma halafu kama umeonewa ukashitaki mahakamani au umpigie Rais simu kwa madai kuwa ni agizo la mkuu wa wilaya ya Rorya. Tunaomba msaada wako tafadhali.
mkuu,kila siku unalalamika huko rorya,hii ni siri-kali..nlikwambia kwamba kauli utakazozipata ni kuwa"wananchi walimnukuu na kumwelewa vibaya mheshimiwa mtukufu rais"au alikuwa anatania tu,wao wachange...
 
Vitu vingine msisubiri serikali changeni mtengeneze madawati ya watoto wenu ilimradi pesa mnayotoa iandikwe ili mwisho wa siku isomwe kwenye mapato na matumizi ya kijiji husika ama shuleni kati ya wazazi na bodi ya shule..mkisema msubiri serikali hi ya mwendokasi mtaishia kulalamika au mkapewa madawati lakini yasikidhi idadi ya wanafunzi waliopo
walimnukuu mtukufu vibaya...wao wachange tu.
 
Mheshiwa waziri habari za kutwa. Mh. Katika wilaya ya Rorya baadhi ya vijiji wanatozwa pesa za madawati. Ukiuliza mtendaji wa kijiji cha Bwiri kata Bukura Tarafa ya Nyancha anasema wewe muuliza swali hujasoma halafu kama umeonewa ukashitaki mahakamani au umpigie Rais simu kwa madai kuwa ni agizo la mkuu wa wilaya ya Rorya. Tunaomba msaada wako tafadhali.
Hivi hayo madawati watakaa watoto wa huyo waziri?
Nyie kanda maalumu mnatia aibu, unategemea huyo waziri akija atafanyaje zaidi ya kuzuia huo uchangiaji na watoto wenu wataendelea kukaa chini, sasa utakuwa umemkoa nani?
Changieni maendeleo yenu acheni majungu.
 
Rorya itakuja kuendelea siku mkiachana na ujinga wa kupiga kura kwa influence ya "Gonya" igonyi in gwok?
 
Kwa nini wachange wakati sehemu zingine hawachangii. Mtendaji wa kijiji cha Bwiri kata Bukura Tarafa ya Nyancha anaongea kwa kiburi sana na kutoa majibu yasiyofaa.
 
Back
Top Bottom