Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,480
Hakuna kinachokataza mimi kuchoma bendera yangu ya Marekani mbele ya polisi.Ni kweli maybe sejuwi mengi (kind of funny) hiyo statement inajieleza kama una protest and na umezingatia ni wapi na unapinga nini, na bendera lazima iwe yako,Huwezi kukurupuka tuu na kuchoma bendera ya Marekani bila kupitia vipengele vya sheria vinavyo husika. Kama ni rahisi hivyo na kama unavyosema freedom of speech Marekani ipo powa na wewe ungejaribu kuchoma mbele ya wamarekani wenyewe au polisi.
Katiba inanilinda kufanya hivyo kwa mujibu wa First Amendment.
Soma nilicholeta hapa on the subject.
Unaweza kupata matatizo kama unachoma bendera ya mtu mwingine, au kama una violate sheria nyingine tofauti, lakini kichoma moto bendera kunatetewa kikatiba.
Sasa kama hujui hilo tu, utajuaje tofauti ya kiutamaduni na kisheria ya free speech Marekani na Tanzania?