beth
JF-Expert Member
- Aug 19, 2012
- 3,877
- 6,326
Waziri wa Mifugo na Uvuvi, Luhaga Mpina ameivunja Bodi ya Wakurugenzi wa Bodi ya Maziwa nchini kutokana na kutoridhishwa na utendaji wa Bodi hiyo
Bodi hiyo imevunjwa kuanzia leo Agosti 22 chini ya kifungu cha sheria ya Bodi ya Maziwa namba 8 ya mwaka 2004 kifungu cha 8 na 9(1)
Bodi ya Maziwa nchini ina majukumu ya Kusimamia, Kuratibu na Kuendeleza tasnia ya maziwa nchini
Bodi hiyo imevunjwa kuanzia leo Agosti 22 chini ya kifungu cha sheria ya Bodi ya Maziwa namba 8 ya mwaka 2004 kifungu cha 8 na 9(1)
Bodi ya Maziwa nchini ina majukumu ya Kusimamia, Kuratibu na Kuendeleza tasnia ya maziwa nchini