PendoLyimo
JF-Expert Member
- Sep 30, 2014
- 879
- 963
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Dkt Faustine Ndugulile (Mb) atakuwa kwenye mdahalo na wadau wa sekta ya TEHAMA siku ya Jumatatu tarehe 03 Mei 2021 kuanzia saa 3 asubuhi hadi saa 7 mchana.
Hii ni fursa kwa wadau wa sekta kubadilishana mawazo na Serikali kuhusu mwelekeo na maendeleo ya sekta ya TEHAMA nchini.
Ili kushiriki kwa njia ya mtandao jisajili kupitia
Hii ni fursa kwa wadau wa sekta kubadilishana mawazo na Serikali kuhusu mwelekeo na maendeleo ya sekta ya TEHAMA nchini.
Ili kushiriki kwa njia ya mtandao jisajili kupitia
Welcome! You are invited to join a webinar: 4th Industrial Revolution For Competitive Digital Economy. After registering, you will receive a confirmation email about joining the webinar.
On Monday 3th May 2021, Hon. Dr. Faustine Ndugulile Minister for Communication and Information Technology will hold a public dialogue to accomplish the following Objectives - Addressing the Challenges and propose solutions within the ICT industry in Tanzania. - Identify existing and emerging...
bit.ly