The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 6,190
- 13,616
Tayari nimeshakuwini kisaikolojia na ndio hicho nilikuwa nataka na kutafutaHuyo demu nitakayemuonga labda uwe wewe. Upo tayari nikuonge. Wapi umeshaambiwa kuna uhalali wa kumpa trafiki pesa? Kaomba kazi na mshahara anapewa.