Waziri Biteko, tunazidi kuchelewa kwenye suala la urasimishwaji wa Madalali

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,237
4,040
Tanzania ili uwe dalali unahitaji kuwa na Instagram Akaunti tu na simu ya tochi.

Humo humo utatapeli watu. Utaibia watu ni mradi siku ziende. Unapangisha nyumba moja lakini umezungukwa na madalali 10.

gari la milioni 10 utauziwa Mil 13. Mil 3 inaendaka kwa dalali, serikali haipati hata senti na usalama wa aliyeuziwa gari ni changamoto.

Nyumba au kiwanja cha Mil 50, dalali atakuanzia mil 60, utaishia 57M, mil 7 yote inaenda kwa dalali, serikali inapata kiasi gani?

Pamoja na kutoa hizo hela bado kuna risk ya kutapeliwa, ukauziwa kiwanja au nyumba document fake.

Waziri Biteko na timu yako , suala la madalali kurasimishwa sio jipya, lipo hapa JF, tulijadili miaka 4 iliyopota tangu Enzi za ndugu yako Ngosha.

Tulisema tunatakiwa kuwa na Registered Agents wa magari, nyumba, viwanja, electronics or anything related to Udalali. Hii ni kwa ajili ya usalama wa Raia na nchi kwa ujumla.

Dalali yeyote anatakiwa kuwa na:

1. Ofisi na mkataba wa Ofisi lazima ukapitiwe TRA kama biashara nyingine
2. Awe na TIN ya mlipakodi
3. Awe na leseni ya Udalali
4. Afanyiwe makadirio
5 Awe na mashine ya EFD
6. Transaction zote zipitie Bank kwenye Akaunti ya Dalali
7. Wenye nyumba, magari au assets wawe linked specific na madalali walio karibu na maeneo yao na ukipangisha nyumba nje ya dalali ni kuhujumu uchumi na utahukumiwa kwa sheria ya fedha.

Nashauri: Na utambue nchi zilizoendelea hiyo ni very common practice, Mashaka.

Madalali wengi in developed countries hawana mambo ya Instagram: unahitaji huduma au nyumba, unatafuta Ofisi ya Dalali iliyokaribu yako.

TZ pekee ofisi ya Dalali ni Instagram na Mnakutana juu kwa juu na mnalipana kihuni huni.

Hili litazamwe.
 
Ndio ila mamlaka husika bado zimelala usingizi mzito kwenye hili, watu wanapigwa hela sana.

Sana
Yupo mgeni mmoja aliuziwa eneo kubwa bagamoyo….. jamaa alipelekwa hadi kwenye ofisi za serikali ya mitaa fake , akakuta mashekh na wavaa misuli wapo ofisini huku Bendera ya taifa imewekwa juu, docs za serikali za mitaa zipo., na baadhi ya watu wanakuja na kugongewa mihuri na kuondoka …… kumbe ni watu wale wale

wakati wa malipo hadi jamaa aliyevalia Sare za polisi alikuwepo……. But it was all a scam

Baada ya mwezi jamaa anaanza kuandaa eneo lake , anakutana na mwenye eneo, wee vipi?
Eneo langu, eneo lako ? Ndio langu
Lete document, kuangalia document , doh ni scam . Ikabidi waanze kwenda serikali za mitaa zilipofanyika hizo harakati . Kufika pale anakuta ni mgahawa wa mama lishe
Ndio jamaa anagundua ametapeliwa

Hiyo timu inatafutwa hadi leo haijapatikani
 
Sana
Yupo mgeni mmoja aliuziwa eneo kubwa bagamoyo….. jamaa alipelekwa hadi kwenye ofisi za serikali ya mitaa fake , akakuta mashekh na wavaa misuli wapo ofisini huku Bendera ya taifa imewekwa juu, docs za serikali za mitaa zipo., na baadhi ya watu wanakuja na kugongewa mihuri na kuondoka …… kumbe ni watu wale wale

wakati wa malipo hadi jamaa aliyevalia Sare za polisi alikuwepo……. But it was all a scam

Baada ya mwezi jamaa anaanza kuandaa eneo lake , anakutana na mwenye eneo, wee vipi?
Eneo langu, eneo lako ? Ndio langu
Lete document, kuangalia document , doh ni scam . Ikabidi waanze kwenda serikali za mitaa zilipofanyika hizo harakati . Kufika pale anakuta ni mgahawa wa mama lishe
Ndio jamaa anagundua ametapeliwa

Hiyo timu inatafutwa hadi leo haijapatikani
Utapeli upo mwingi sana kwenye engo hiyo. Waitizame
 
Kutwa kucha kutembeza bakuli ilhali hatuhangaiki na vyanzo hivi vya mapato.

Wanaenda kuhangaika na tozo za Miamala. But kuna maeneo mengi muhimu wanatakiwa kugusa

Yule Dada wa Algeria hakukosea

Manchi ya watu weusi ni maskini snaa na viongozi wao ni ha kuna kitu upstairs

kutoa Africa ya kaSkazini Algeria Morocco Tunis Misiri
 
Yaani haya makusanyo ya Sasa yanatumika vibaya halafu wewe Unataka watu watafutaji wakamuliwe Kodi ambazo zinatumiwa vibaya.
 
Sana
Yupo mgeni mmoja aliuziwa eneo kubwa bagamoyo….. jamaa alipelekwa hadi kwenye ofisi za serikali ya mitaa fake , akakuta mashekh na wavaa misuli wapo ofisini huku Bendera ya taifa imewekwa juu, docs za serikali za mitaa zipo., na baadhi ya watu wanakuja na kugongewa mihuri na kuondoka …… kumbe ni watu wale wale

wakati wa malipo hadi jamaa aliyevalia Sare za polisi alikuwepo……. But it was all a scam

Baada ya mwezi jamaa anaanza kuandaa eneo lake , anakutana na mwenye eneo, wee vipi?
Eneo langu, eneo lako ? Ndio langu
Lete document, kuangalia document , doh ni scam . Ikabidi waanze kwenda serikali za mitaa zilipofanyika hizo harakati . Kufika pale anakuta ni mgahawa wa mama lishe
Ndio jamaa anagundua ametapeliwa

Hiyo timu inatafutwa hadi leo haijapatikani
Duuuh hii ngumu kumeza sasa Lol
 
Tanzania ili uwe dalali unahitaji kuwa na Instagram Akaunti tu na simu ya tochi.

Humo humo utatapeli watu. Utaibia watu ni mradi siku ziende. Unapangisha nyumba moja lakini umezungukwa na madalali 10.

gari la milioni 10 utauziwa Mil 13. Mil 3 inaendaka kwa dalali, serikali haipati hata senti na usalama wa aliyeuziwa gari ni changamoto.

Nyumba au kiwanja cha Mil 50, dalali atakuanzia mil 60, utaishia 57M, mil 7 yote inaenda kwa dalali, serikali inapata kiasi gani?

Pamoja na kutoa hizo hela bado kuna risk ya kutapeliwa, ukauziwa kiwanja au nyumba document fake.

Waziri Biteko na timu yako , suala la madalali kurasimishwa sio jipya, lipo hapa JF, tulijadili miaka 4 iliyopota tangu Enzi za ndugu yako Ngosha.

Tulisema tunatakiwa kuwa na Registered Agents wa magari, nyumba, viwanja, electronics or anything related to Udalali. Hii ni kwa ajili ya usalama wa Raia na nchi kwa ujumla.

Dalali yeyote anatakiwa kuwa na:

1. Ofisi na mkataba wa Ofisi lazima ukapitiwe TRA kama biashara nyingine
2. Awe na TIN ya mlipakodi
3. Awe na leseni ya Udalali
4. Afanyiwe makadirio
5 Awe na mashine ya EFD
6. Transaction zote zipitie Bank kwenye Akaunti ya Dalali
7. Wenye nyumba, magari au assets wawe linked specific na madalali walio karibu na maeneo yao na ukipangisha nyumba nje ya dalali ni kuhujumu uchumi na utahukumiwa kwa sheria ya fedha.

Nashauri: Na utambue nchi zilizoendelea hiyo ni very common practice, Mashaka.

Madalali wengi in developed countries hawana mambo ya Instagram: unahitaji huduma au nyumba, unatafuta Ofisi ya Dalali iliyokaribu yako.

TZ pekee ofisi ya Dalali ni Instagram na Mnakutana juu kwa juu na mnalipana kihuni huni.

Hili litazamwe.
Wakala wa kuwaregulate hawa ni gharama kubwa serikali haina hizo budget,ni masikini sana

Hizo gharama zote unazotaja hapo,zote zinaletwa kwa mteja

Ni heri mteja afanye collusion na dalali wamalizane bila serikali kujua lolote kupunguza gharama

Mimi ni advocate wa "deregulation"....kwamba sio lazima uregulate kila kitu.....

Wacha watu wauziane vitu freely serikali ikae mbali maana na yenyewe itataka kula hapo hapo hivyo kufanya biashara ngumu zaidi

Kama dalali kamuibia mtu hilo ni suala la JINAI,vyombo vya jinai vipo

Unaingiza TRA ili iweje kama sio kuongeza magharama ya hiyo biashara kua kubwa tu unneccesary?

Yaani sipendi kila kitu kukimbilia serikalini ijihusishe....

Kama wanadamu wenye utashi fanyeni biashara freely bila kushirikisha serikali sana maana serikali yeye ni mzuiaji na mpumbavu tu

Halafu majitu mazima kila saa kukimbilia serikali tunataka hiki mara kile ,tusimamie hiki mara kile,motherfvckers you are smart and grown up,jisimamieni majinga nyie,mnakua kama watoto kila kitu lazima msimamiwe na majinga ya serikalini
 
Wanaenda kuhangaika na tozo za Miamala. But kuna maeneo mengi muhimu wanatakiwa kugusa

Yule Dada wa Algeria hakukosea

Manchi ya watu weusi ni maskini snaa na viongozi wao ni ha kuna kitu upstairs

kutoa Africa ya kaSkazini Algeria Morocco Tunis Misiri
Its not your job kuielekeza serikali mahali pa kupata mapato

It is not in your best interest wewe kuipa serikali akili ya kupata mapato

Hayo mapato unayodhani serikali inayapata yanatoka hewani,ni mapato unayatoa wewe kwenye your hard earned money unaipa serikali for free

Serikali ifikirie yenyewe jinsi ya kupata mapato yake yenyewe sisi hatuna haja ya kuisaidia kwa chochote au kuishauri chochote maana ultimately wanakuja kutunyang'anya pesa zetu

Serikali ife masikini,haituhusu!

Na kila saa kuitaka serikali ije itusimamie kwenye shughuli zetu za kimaisha ni ujinga mwingine ambao naupinga kabisa

Sisi kama watu wazima wenye IQ sahihi,hatuna haja ya kuishirikisha serikali kwa lolote maana ni tax profiteer wa tunachofanya mimi na wewe

Kama tuna ugomvi,mahakama ni the most important organ

Kama kuna jinai policing organs are the most important

Government as executive ni useless na costly na dhulumati na inhibitor of progress among independent people
 
Kutwa kucha kutembeza bakuli ilhali hatuhangaiki na vyanzo hivi vya mapato.
Mapato ya nani?

Sio mapato yako ndugu

Wewe kudhani mapato ya serikali pia ni yako ni upumbavu

Mapato yako ni yako na mapato ya serikali ni mapato ya serikali hayana uhusiano na wewe

Oh wanajenga barabara na blah blah,not real!

Ni jukumu lako wewe kua tajiri na sio wewe kuisaidia serikali kua tajiri

Infact ni sahihi zaidi wewe kua tajiri na serikali kua masikini

Serikali na wananchi ni vitu viwili tofauti,dont ever mix the two!
 
Yaani haya makusanyo ya Sasa yanatumika vibaya halafu wewe Unataka watu watafutaji wakamuliwe Kodi ambazo zinatumiwa vibaya.
Mkuu

Ndio maana nashangaa haya majinga why yanaiingiza serikali kujaza gharama zisizo na maana

Maana serikali akiingia biashara itakua ghali na gharama zote anabeba mteja

madalali watakua bypassed watu wawe wanatafuta owners kabisa maana ukimuingiza dalali tayari umeingiza serikali,magaharama yote ya nini hayo?

Hii sekta ya madalali itakufa ukiingiza mtu wa tatu ambae ni serikali ambae anakuja kuongeza gharama na upumbavu mwingine mwingi na urasimu wa kiseng3 tu

Ni maajabu watu wazima kila saa kutaka "kusimamiwa" na serikali kama matoto madogo!
 
Mapato ya nani?

Sio mapato yako ndugu

Wewe kudhani mapato ya serikali pia ni yako ni upumbavu

Mapato yako ni yako na mapato ya serikali ni mapato ya serikali hayana uhusiano na wewe

Oh wanajenga barabara na blah blah,not real!

Ni jukumu lako wewe kua tajiri na sio wewe kuisaidia serikali kua tajiri

Infact ni sahihi zaidi wewe kua tajiri na serikali kua masikini

Serikali na wananchi ni vitu viwili tofauti,dont ever mix the two!
Madalali wasiosajiliwa ni sawa tu na matapeli.

Watu Hawa wadhibitiwe haraka,

Zipo faida nyingi za kusajili madalali Kwa upande wa mteja, Serikali na dalali mwenyewe.

Dalali majuzi kaleta mteja wa nyumba kwangu, mteja yule hakufika Bei akaondoka, Dalali mwingine No 2, akaleta mteja mwingine akalipia. Baada ya dalali no 1, kupata habari kuwa nyumba imeshachukuliwa, Kila siku anakuja kwangu kukagua ikiwa mteja aliyemleta mwanzo ndiye aliyemzunguka na kulipia au la.

Kiusalama hapo Si nzuri, watu Hawa wasajiliwe Kwa ufanisi zaidi wa KAZI zao.
 
Ikiwa Serikali ni third party, no 1& no 2 ni akina nani?

Pia ni vyema ungedeclare interest uko upande gani.

Kuna mnunuzi,kuna muuzaji,then dalali ni neutral kuhakikisha biashara inafanyika na isife.

Baada ya hao wewe unaongeza matako mwingine mpya anaeitwa serikali

Wanini?

Watu wazima watatu mpo kwa maslahi yenu biashara ifanyike kila mtu ale chake then mnashindwa jisimamia eti mnataka mje msimamiwe na liserikali,for what hasa?

Mimi ni mfanyabiashara

Serikali hatakiwi kua popote kama nyie ni watu wazima na independent,mnaongeza mtu mwingine ale hela za nini na hana msaada wowote kwenye hiyo biashara?

Tapeli amekutapeli,serikali inakusaidia nini?Hakuna

Serikali hafai kuwepo hapo
 
Kuna mnunuzi,kuna muuzaji,then dalali ni neutral kuhakikisha biashara inafanyika na isife.

Baada ya hao wewe unaongeza matako mwingine mpya anaeitwa serikali

Wanini?

Watu wazima watatu mpo kwa maslahi yenu biashara ifanyike kila mtu ale chake then mnashindwa jisimamia eti mnataka mje msimamiwe na liserikali,for what hasa?

Mimi ni mfanyabiashara

Serikali hatakiwi kua popote kama nyie ni watu wazima na independent,mnaongeza mtu mwingine ale hela za nini na hana msaada wowote kwenye hiyo biashara?

Tapeli amekutapeli,serikali inakusaidia nini?Hakuna

Serikali hafai kuwepo hapo
Unaposema dalali ni Neutral, unamaanisha ni kivuli?

Unajua maana ya third party?

Dalali ndiye mtu wa tatu. Ndipo tunasema ni muhimu wakasajiliwa tukaondoa matapeli na makanjanja kwenye sekta hiyo.

Nchi zilizoendelea brockers na Agents ni Walipa Kodi wakubwa na ni matajiri pia.

Kama madalali hamtaki usajili, chagueni kurudi vijijini mkalime.
 
Unaposema dalali ni Neutral, unamaanisha ni kivuli?

Unajua maana ya third party?

Dalali ndiye mtu wa tatu. Ndipo tunasema ni muhimu wakasajiliwa tukaondoa matapeli na makanjanja kwenye sekta hiyo.

Nchi zilizoendelea brockers na Agents ni Walipa Kodi wakubwa na ni matajiri pia.

Kama madalali hamtaki usajili, chagueni kurudi vijijini mkalime.
Madalali wana kampuni za udalali zimesajiliwa BRELA

Ulitaka nini zaidi?
 
Back
Top Bottom