Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 18,174
- 27,223
Binafsi zamani niliwahi kuwa mhanga mkubwa wa tochi za barabarani kwa kuwa huwa ninasafiri sana(private) Kati ya dar-moro na dar-dodoma.
Kero kubwa hapo zamani ilikuwa unapigwa tochi kichakani na Mtu alafu baadae Kama baada ya km 10 unakutana na trafiki anakusimamisha anakuonyesha picha kwenye simu.
Ikiwa hata haina ushahidi wa kweli Kama ulizidisha hizo speed.
Hili suala liliondoka baada ya aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi Cha Magufuli kangi lugola kulipinga.
Kangi alikuweza kuliondoa na ikabaki unapigwa tochi eneo la tukio na unasimamishwa hapohapo huku ukionyeshwa kwenye tochi na kibao ambapo ume-overspeed.
Na hata baada ya kangi kuondolewa nakumbuka hili suala simbachawene uliendelea nalo. Ila ghafla Sasa hivi naona limerudi tena kwa Kasi Sana.
Hata hili mpaka tukaseme kwa Mama Samia? Kwa nini ule utaratibu usirudi? Kupigwa tochi mbali huko kichakani alafu baada ya kama km 20 unakutana na trafiki wanakusimamisha na kukuonyesha picha kwenye simu sio sawa maana hakuna hata ushahidi Kama ulizidisha kweli.
Juzi ijumaa niliona ugomvi mkubwa sana, na Mimi pia nilikuwemo kwenye mmoja wa waliosimamishwa kwa ku-overspeed, picha zimepigwa kilomita kadhaa nyuma Ila hazionyeshi Kama tulikuwa eneo ambalo tunapaswa kutembea chini ya speed 50.
Hili suala simbachawene tunakuomba uliangalie na ulitolee tena tamko. Trafiki wameanza kusumbua sana na ugomvi imeanza kuwa mkubwa.
Tunakuomba Simbachawene tunakuomba Sana, sisi wengine kwa mwezi tunasafiri private hata Mara 3 safari ndefu kwenda kwenye shughuli za ujenzi wa taifa.
NB: Picha haihusiani na eneo la tukio, Bali ni mfano wa kibao Cha speed
Kero kubwa hapo zamani ilikuwa unapigwa tochi kichakani na Mtu alafu baadae Kama baada ya km 10 unakutana na trafiki anakusimamisha anakuonyesha picha kwenye simu.
Ikiwa hata haina ushahidi wa kweli Kama ulizidisha hizo speed.
Hili suala liliondoka baada ya aliyewahi kuwa waziri wa mambo ya ndani kipindi Cha Magufuli kangi lugola kulipinga.
Kangi alikuweza kuliondoa na ikabaki unapigwa tochi eneo la tukio na unasimamishwa hapohapo huku ukionyeshwa kwenye tochi na kibao ambapo ume-overspeed.
Na hata baada ya kangi kuondolewa nakumbuka hili suala simbachawene uliendelea nalo. Ila ghafla Sasa hivi naona limerudi tena kwa Kasi Sana.
Hata hili mpaka tukaseme kwa Mama Samia? Kwa nini ule utaratibu usirudi? Kupigwa tochi mbali huko kichakani alafu baada ya kama km 20 unakutana na trafiki wanakusimamisha na kukuonyesha picha kwenye simu sio sawa maana hakuna hata ushahidi Kama ulizidisha kweli.
Juzi ijumaa niliona ugomvi mkubwa sana, na Mimi pia nilikuwemo kwenye mmoja wa waliosimamishwa kwa ku-overspeed, picha zimepigwa kilomita kadhaa nyuma Ila hazionyeshi Kama tulikuwa eneo ambalo tunapaswa kutembea chini ya speed 50.
Hili suala simbachawene tunakuomba uliangalie na ulitolee tena tamko. Trafiki wameanza kusumbua sana na ugomvi imeanza kuwa mkubwa.
Tunakuomba Simbachawene tunakuomba Sana, sisi wengine kwa mwezi tunasafiri private hata Mara 3 safari ndefu kwenda kwenye shughuli za ujenzi wa taifa.
NB: Picha haihusiani na eneo la tukio, Bali ni mfano wa kibao Cha speed