Waziri wa Mambo ya Ndani anatakiwa kujiuzulu mara moja

Kwa maneno mafupi waziri wa mambo ya ndani JIPU, unawezaje kumfukuza mtu kwa barua batili? si angesema tu hiyo ni barua batili haihusiani na serikali na tutawatafuta wote wanaosambaza barua batili, lakini ukisema ni barua batili halafu unamfukuza msajili maana yake ile barua sio batili tena, hiyo ni 100% imetoka katika wizara yake, niliwahi sema hapa katika mawaziri wasiojitambua mwiguru yumo,tulianza na kibiti wananchi walipopiga kelele ndo kwa mbali akachukua hatua, tukaja na watu wasiojulikana, tukaja polisi kupiga raia na kuua, leo kaja na kituko cha maaskofu,maelezo yake yote yanakinzana, mara technologia watu wanaweza wakarekebisha heading, nimeona nyaraka mbalimbali, barua ni batili, sasa hapo tuelewe kipi, barua imetoka serikali au haijatoka serikali? kama imetoka serikali nani kahusika kwa misingi ipi? ameitisha press conference baada ya kumaliza tatizo kwa umakini na ufanisi anaongeza tatizo huyu mtu hafai,kama anataka afanye kazi kwa ufasaha zaidi basi ni lazima awe karibu sana na wizara yake pia na wafanyakazi wake ,naona kama yuko mbali sana na wizara yake hiyvo ni rahisi kuingizwa chaka.
Kwanza ni dharau kwa KKKT, unawaambia wmejibu barua batili?, lazima walipelekewa original, mnatia aibu na hizo elfu saba mnazolipwa
 
Mwigulu siku zote ndo mtuhumiwa japo anajifanya hahusiki.roho take mbaya inajulikana tokea wakati Wa sinema ya Rwakatare.hivo kuna siku si nyingi ataumbuka tu.miti yote itateleza akose pa kushika

I do hate this guy..!!
Mnakumbuka huyuhuyu ndo aliyepanga shambulizi la Olasiti na Soweto huko Arusha??This foolish Minister must quit now!
 
Kwanza ni dharau kwa KKKT, unawaambia wmejibu barua batili?, lazima walipelekewa original, mnatia aibu na hizo elfu saba mnazolipwa

Point yangu na yako ni sawa, barua haiwezi kuwa batili kama ni batili huwezi kumfukuza msajili kwa sababu hiyo, soma vizuri maelezo yangu kabla hujasema mambo ya pesa, utanipa bk 7 zitanisaidia nini, toa maoni tu inatosha.
 
Kwa maneno mafupi waziri wa mambo ya ndani JIPU, unawezaje kumfukuza mtu kwa barua batili? si angesema tu hiyo ni barua batili haihusiani na serikali na tutawatafuta wote wanaosambaza barua batili, lakini ukisema ni barua batili halafu unamfukuza msajili maana yake ile barua sio batili tena, hiyo ni 100% imetoka katika wizara yake, niliwahi sema hapa katika mawaziri wasiojitambua mwiguru yumo,tulianza na kibiti wananchi walipopiga kelele ndo kwa mbali akachukua hatua, tukaja na watu wasiojulikana, tukaja polisi kupiga raia na kuua, leo kaja na kituko cha maaskofu,maelezo yake yote yanakinzana, mara technologia watu wanaweza wakarekebisha heading, nimeona nyaraka mbalimbali, barua ni batili, sasa hapo tuelewe kipi, barua imetoka serikali au haijatoka serikali? kama imetoka serikali nani kahusika kwa misingi ipi? ameitisha press conference baada ya kumaliza tatizo kwa umakini na ufanisi anaongeza tatizo huyu mtu hafai,kama anataka afanye kazi kwa ufasaha zaidi basi ni lazima awe karibu sana na wizara yake pia na wafanyakazi wake ,naona kama yuko mbali sana na wizara yake hiyvo ni rahisi kuingizwa chaka.

..barua ni BATILI kwasababu yaliyomo ktk barua hiyo yanakiuka SHERIA na TARATIBU za NCHI.

..barua itakuwa ni FEKI kama imegushiwa na haijaandikwa na mamlaka husika.

..Mh.Dr.Mwigulu amesema barua ni batili. Lakini pia amemsimamisha kazi Msajili wa vyama vya kijamii.

..Maana yake ni kwamba barua imetoka serekali/wizara ya mambo ya ndani, ila maudhui yake yamekiuka sheria na taratibu. Ndiyo maana aliyeandika barua hiyo amesimamishwa kazi ili uchunguzi ufanyike.

..UCHUNGUZI unapaswa kubaini kama Msajili aliandika barua kwa utashi wake binafsi, au alipewa maagizo na alipata baraka za wakubwa wake wa kazi.

Cc Nguruvi3
 
Hakuna sababu yoyote ya Waziri kujiuzulu. Kwa nini ajiuzulu? Hata ningekuwa mimi siwezi kujiuzulu ng'o. Kwa nini nijiuzulu au niwajibike katika mfumo ambao hakuna mtu anayewajibika wala kujali hata kama amekosea, na hata mtu huyo akienda kugombea bado huchaguliwa kwa kura nyingi na wapiga kura? You guys must be joking. Kwenye mfumo ambao watu hawajui maana ya kuwajibika, huwezi kumwambia mtu mmoja kuwajibika. Mwigulu chapa kazi mzee. Huu ni upepo. Utapita tu kama yalivyopita mengine mengi.
Kuchapa kazi kwa vipi na lipi?
Yawezekana tuna kirusi cha Elimu butu na upeo butu,Mwigulu si tatizo,tatizo lina wenyewe.Labda tufukue mafaili ya Nyerere tuanzie hapo.Hukumu itolewe hata kama mtu ameishafariki na ndio iwe dira ya kutorudia makosa,Tanzania itazaliwa upya.
 
..
..Mh.Dr.Mwigulu amesema barua ni batili. Lakini pia amemsimamisha kazi Msajili wa vyama vya kijamii.

..Maana yake ni kwamba barua imetoka serekali/wizara ya mambo ya ndani, ila maudhui yake yamekiuka sheria na taratibu. Ndiyo maana aliyeandika barua hiyo amesimamishwa kazi ili uchunguzi ufanyike.

..UCHUNGUZI unapaswa kubaini kama Msajili aliandika barua kwa utashi wake binafsi, au alipewa maagizo na alipata baraka za wakubwa wake wa kazi
Mkuu, kuna utata sana wa suala hili hasa kwa upande wa serikali na waziri nao kajichanganya vilivyo

Barua ya serikali ipo siku nyingi, mbona hakukuwa na majibu tunayoona?

Pili,je, barua ya KKKT ni halali? Kama jibu ni ndiyo, ilikuwa inajibu barua kutoka wapi?

Tatu, kama barua ni batili, iweje waziri amsimamishe kazi msajili kwa kitu 'batili'?

Nne, kwanini KKKT walijibu barua wakinukuu barua mbili za serikali, leo ziwe ni batili

Tano, vikao vya msajili na KKKT vilikuwepo?vilikuwa halali? na kwanini barua iwe batili

Sita, KKKT wamesema wamelipa ada. Nani amepokea ada na kwa kufuatia barua gani?

Kuna mahali niliandika kuwa barua ya KKKT imeandikwa kiufundi sana kiasi kwamba kwa anayesoma 'between the lines' Ilikuwa na maudhui yakionyesha kila mtiririko kwa mantiki

Waziri, kwa utetezi wake amechanganya mambo maana KKKT wanatetewa bila wao kusema neno. Waziri keshawajibia'batili'
 
..barua ni BATILI kwasababu yaliyomo ktk barua hiyo yanakiuka SHERIA na TARATIBU za NCHI.

..barua itakuwa ni FEKI kama imegushiwa na haijaandikwa na mamlaka husika.

..Mh.Dr.Mwigulu amesema barua ni batili. Lakini pia amemsimamisha kazi Msajili wa vyama vya kijamii.

..Maana yake ni kwamba barua imetoka serekali/wizara ya mambo ya ndani, ila maudhui yake yamekiuka sheria na taratibu. Ndiyo maana aliyeandika barua hiyo amesimamishwa kazi ili uchunguzi ufanyike.

..UCHUNGUZI unapaswa kubaini kama Msajili aliandika barua kwa utashi wake binafsi, au alipewa maagizo na alipata baraka za wakubwa wake wa kazi.

Cc Nguruvi3

Kulingana na Majibu ya KKKT inaonyesha wazi kuwa kulikuwepo na majadiliano kati ya seriakali/wizara na KKKT, hivyo waziri na katibu wake wanajua, kabla barua haijatoka kwenda KKKT ilikuwa ni busara ijadiliwe kwanza wizara husika chini ya waziri wake,katibu na msajili mwenyewe wajue kama barua hii inafuata sharia na taratibu za nchi, hapo Mwigulu angepata muda wa kusema barua hii nimeipitia pia lakini inakiuka sheria na taratibu za nchi yetu, hivyo angetoa mapendekezo iandikwe vipi ,baada ya kuandikwa tena bado walitakiwa wa review kwa pamoja yeye, msajili ,katibu na wanasheria wake ,hata siku ikitumwa kwa wahusika copy kwa katibu mkuu, naibu/waziri husika wa wizara pengine hadi kwa waziri mkuu ili wote wawe katika one page as gvt, hii inakuwa safe zaidi kwa msajili mweyewe, wizara yenyewe na kwa wahusika.

Ukitaka kujua serikali haina coordinations ni kwenye suala hili dogo tu, waziri mkuu anaulizwa bungeni hajui, pengine ndo kwanza amelisikia bungeni, mwigulu hajui, sasa kama mwigulu hajui anafanya nini hapo wizarani? ,barua muhimu zinatoka kwenda kwa walengwa bila wahusika kujua yaani mtu anaamka asubuhi anaandika barua anatuma just like that ? kwa mtindo huu hizi serikali zetu zitaendelea kuwa incompetent siku zote hadi tutakapopata watumishi/mawaziri wazuri ambao wamefanya kazi cooperates kabla hawajaingia kwenye siasa.
 
yule hajasimamishwa kazi..kapewa likizo...!! siku za likizo zikiisha atarudi ofisini..!! kwa mwenye akili timamu anajua hili..
walikuwa wanapima upepo..ulipowageukia wameleta sinema ya kusema ile barua si ya kweli na kumsimamisha kamishna...
 
Hakuna sababu yoyote ya Waziri kujiuzulu. Kwa nini ajiuzulu? Hata ningekuwa mimi siwezi kujiuzulu ng'o. Kwa nini nijiuzulu au niwajibike katika mfumo ambao hakuna mtu anayewajibika wala kujali hata kama amekosea, na hata mtu huyo akienda kugombea bado huchaguliwa kwa kura nyingi na wapiga kura? You guys must be joking. Kwenye mfumo ambao watu hawajui maana ya kuwajibika, huwezi kumwambia mtu mmoja kuwajibika. Mwigulu chapa kazi mzee. Huu ni upepo. Utapita tu kama yalivyopita mengine mengi.
Mqigulu ni mhandisi Wa mabom ya olasti arusha.ni mhandisi pia Wa video ya rwakatare na kuwaweka ndani akina nondo
 
Sijui mnatumiaga akili gani kutoa haya mawazo?,ajiuzuru sababu ya huu upuuzi wa waraka?,ingekuwa wewe ungejiuzuru?,tangu juzi nawaambia hizi siasa zinawaletea ujinga.Mnakomalia kila mnacholetewa bila kutumia akili, hii ishu ndo inaishia hivyo jumatatu tunaanza na series nyingine mkijakushtuka 2020 Hanna Sera yoyote zaidi ya kudandia kila linaloletwa.Sisapoti upinzani ila mngekomalia hata katiba Mpya tu mwanzo mwisho mngeonekana MNA hoja ya msingi.Ila kudandia kila linalojitokeza mtapoteza 90% ya viti bungeni 2020. Mtaani Maisha yanasonga fresh watu wanajiandaa na weekend.
Mhandisi Wa mabomu ya arusha kwa nia ya kuwaua Chadema.mhandisi Wa video ya Rwakatare mhandisi Wa kumteka Nondo Mgulu umezaliwa na roho mbaya sana
 
Back
Top Bottom