Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 12,499
- 17,572
Nyinyi ni wezi wakubwa
Naunga mkono hoja.
Makelele alitakiwa afungie bar kwanza zenye miziki ya makelele halafu aje misikiti halafu kengele za makanisa katoliki ndio aje Jesus power kwa huyo Nabii .Magufuli Mambo ya dini mwambie Lugola akae nayo mbali anataka kuleta vurugu kwenye nchi huyo .Mwondoe mjinga mkubwa huyo.Kwa manabii kaenda mbali mno Magufuli mshughulikie manabii siyo watu watu wa kuchezewa na kupandishamwa defender Kama vibaka