Kurzweil
JF-Expert Member
- May 25, 2011
- 6,622
- 8,397
> Mchungaji huyo anatuhumiwa kwa kuendesha Kanisa bila kusajiliwa na kuwapigia kelele kwa Wananchi wanaomzunguka.
> Mchungaji huyo anatuhumiwa kwa kuendesha Kanisa bila kusajiliwa na kuwapigia kelele kwa Wananchi wanaomzunguka.
ndio mpaka aende waziri kumkamata?Kosa ni kutosajiliwa au kuwapigia kele majirani wanaomzunguka?
Kama ni kutosajiliwa sawa ila kama ni suala la kelele basi kero hiyo ipo kila sehemu na jeshi la polisi halioni
At least> Taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa Waziri Kangi Lugola amefika katika kanisa hilo na kuamuru kukamatwa kwa Mchungaji wake, Nabii Eliya Mahela
> Mchungaji huyo anatuhumiwa kwa kuendesha Kanisa bila kusajiliwa na kuwapigia kelele kwa Wananchi wanaomzunguka.
ndio mpaka aende waziri kumkamata?
Endelea kutatua kero za wananchi mzee Lugola kweli upo makini.> Taarifa zilizotufikia zinaeleza kuwa Waziri Kangi Lugola amefika katika kanisa hilo na kuamuru kukamatwa kwa Mchungaji wake, Nabii Eliya Mahela
> Mchungaji huyo anatuhumiwa kwa kuendesha Kanisa bila kusajiliwa na kuwapigia kelele kwa Wananchi wanaomzunguka.