Hii ni kesi ya ngedere kapelekewa nyani,hakuna loloooote litakaloendelea!kwanza yawezekana kabisa huyo maharage alipanga mpango na polisi,walifaham fika atafanya hivyo we mpaka mtu anapaTa chance ya kupIgwa picha na media unadhani ni jambo jepesi? Sarakasi tu za ccm