Waziri wa Maji, Jumaa Aweso: Wachawi kikwazo maji kufika vijijini

UCHAWI UPO TANZANIA TENA WA KUTISHA.

KUNA VIJIJI HAVITAKI MAENDELEO KABISA.

KUNA JAMAA YANGU MIAKA HIYO YA NYUMA ALIMALIZA DIPLOMA YA UALIMU AKAPANGIWA KIJIJI FULANI NA SERIKALI.
MOTO ALIOKUTANA NAO HUKO ALIACHA KAZI AKAAMUA KUJA MJINI KUFUNDISHA PRIVATE SCHOOL.

UCHAWI UPO TENA NI WAKISHAMBA KURUDISHA NYUMA MAENDELEO.

ULIZA WAALIMU NA MANESI WALIOPANGIWA VIJIJINI HUKO, KUNA WENGINE WANACHAPWA VIBOKO USIKU KUCHA.

Sent from my Infinix Zero 3 using JamiiForums mobile app
 
Hahaha

Ova
 
Hahahaha

Ova
 

Hao ni wahandisi madaktari nao hivyo hivyo na sera zao za nyungu. Siku tukikuta marubani wa hayo mabomba ni msukuma na yule mwenziwe wala tusishangae.

Hiiiiii bagosha!
 
Kuna barabara ya vikawe kibaha.wachawi wa vikawe hawataki iwekwe Rami.
Barabara inayounganisha wilaya na wilaya mpaka leo HAINA rami
 
Duh,wapi huko?
 
Kumbe huenda Ndiyo sababu kule Handeni maji hakuna tangu uhuru?

Mto ruvu upo karibu sana korogwe iko pale karibu sana lakini mpaka leo maji ni shida kubwa.

Vyanzo vya maji vingi lakini maji ni shida kubwa kuliko maelezo.
 
Haya mambo ukisimuliwa unaweza usiamini kabisa..juzi nimeshuhudia caterpillar la kuchonga barabara huko chunya limekwama eti
 
Huyu waziri kwasababu yeye katokea Pangani kwenye maendeleo duni na Imani za kichawi anataka nchi nzima wawe na akili na mawazo kama yake.
Tuna safari ndefu kama taifa.!!
 
📍 Chalinze

"Nilienda Mwakitoryo,Shinyanga, mradi wa Bil 1.4 lakini hautoi maji,ukimuuliza Mhandishi anasema Mhe Waziri sijawahi kuona wananchi wachawi kama kijiji hiki,usiku mabomba yanapaa kama ndege. Nikamuuliza kama yanapaa rubani wake yuko wapi?,"-Waziri wa Maji Jumaa Aweso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…