Loftins
JF-Expert Member
- Oct 1, 2017
- 10,299
- 13,342
Mnapata maji kwa wiki mara ngapi kiongozi?Area "C" maji-taka yanatiririka barabarani utafikiri vijito fulani. DUWASA wameshindwa kazi.
Uzunguni tunapata kwa wiki mara nne
Mnapata maji kwa wiki mara ngapi kiongozi?Area "C" maji-taka yanatiririka barabarani utafikiri vijito fulani. DUWASA wameshindwa kazi.
Sio kiki, Dodoma tuna shida ya maji vibaya sana.Anatafuta Kiki kwa kufukuza watu kazi
Korosho iliyo watoa show na kihere here chenuKupongeza au kukashifu hajawahi kukuongezea au kukupunguzia umri wa kuishi wala salio lako bank. Acha kirohoKorosho
Halafu chakula kipo tele, njoo ule upunguze njaa zako zinazokupa roho mbaya na chuki.
Mkurugenzi huyo aliyetumbuliwa anaweza kupangiwa majukumu mengine na muajiri wake ambaye ni Katibu Mkuu wa Wizara iwapo alikuwa na mkataba wa kudumu i.e Permanent and PensionableHivi Mkurugenzi kama huyu anapotumbuliwa huwa anapelekwa wapi? Anapewa desk tu huku akila mshahara wake uleule?
Hivi Waziri ana mamlaka ya kumtumbua Mkurugenzi wa Taasisi au anashauri tu kwa mamlaka iliyoteua ifanye kazi yake?
wewe unayebeza kila kitu tofauti iko wapi??🤔 au ukibeza tu, unapata uhakika wa kula kesho??Utaishia kupongeza tu wakati kwako huna uhakika wa kesho yake utakula nini
Punguza jazba basi☺☺☺Korosho iliyo watoa show na kihere here chenu
Kumbe singida na dodoma zina mabinti tuSafi nilikua nashangaa,kwanini maji ya Victoria hayajafika singida na dodoma,,,kwanini mabinti zetu waendelea kuungua meno kwa kunywa maji yenye chumvi kwasababu ya uzembe wa watu wachache tu...
Hebu aje na huku makongo aangalie nani anasimamia usambazaji maji, haiwezekani mwezi sasa hakuna majHu
Akafie mbele. Tanatekeleza kwa kasi zaidi.Mbona kama hukumu imeshatolewa:-
Amepewa charge? Amejibu?
Ameundiwa tume?
Tume imemkuta na hatia?
Mapendekezo ya adhabu?
Je sheria za utumishi wa Umma unasemaje?
Mkuuu umemaliza kila kitu,wenye ufaham watakuelewaHivi unaamini kutumbua watu ndio jawabu? Haujiulizi kwa nini toka watu wamekuwa wakitumbuliwa hamna mabadiliko makubwa? Matatizo mara nyingi ni mfumo mzima wa utendaji na upungufu wa rasili mali...
Ukweli ni kwamba kwa baadhi ya Miradi serikali inajificha nyuma ya kivuli cha kutumbua ili kuzuga, wakati tatizo ni la serikali yenyewe.Hivi kutumbuatumbua ndio jawabu kweli la shida zetu