Waziri wa Kenya aidharau Tanzania

Waziri wa Kenya aidharau Tanzania

From: Cartels a threat to efficiency at port, JKIA, says Kamau - News - nation.co.ke 9/7/2013


kamau.jpg
Transport and Infrastructure Cabinet Secretary Michael Kamau gestures during a meeting with the Senate Committee on Energy and Transport at the Kenyatta International Conference Centre (KICC) July 9, 2013. On the left is Infrastructure Principal Secretary John Mosonik. ANN KAMONI


Waziri wa Usafirishaji na Miundo Mbinu wa Kenya Bwana Michael Kamau, leo ametoa kauli ya dharau kwa Tanzania kwenye kikao cha Kamati ya Seneti ya Wizara hiyo ya Usafirishaji na Miundombinu. Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa Kenyatta International Conference Center.

Wakati wa kikao hicho, pamoja na mambo mengine Bwana Kamau alisema: "iwapo watanzania wasingekuwa watu wa namna walivyo, bandari ya Mombasa ingekuwa imekufa kitambo. Kwa bahati nzuri, kwa mawazo yao ya kijamaa, hawawezi kupeleka vitu haraka"
“If the Tanzanians were not people that they are; Mombasa would have died a long time ago. Fortunately, with their Ujamaa thinking, they are not able to develop things very fast,”.

Maneno haya si maneno mazuri kutoka kwa Waziri wa nchi ambayo tunapanga kuingia nayo katika ushirikiano wa karibu katika Jumuiya ya Africa Mashariki.

Watanzania tunataka viongozi wetu wasimame imara na kuturudishia heshima mbele ya nchi za jirani na katika jumuiya ya kimataifa.

Ikumbukwe hivi karibuni tumesikia kauli za kejeli toka kwa Rais wa Rwanda, sasa hii nayo toka kwa Waziri wa Kenya na zingine zitafuata...


Watanzania wenzangu naomba maoni yenu.
Msijali. Wanaweweseka sasa. Uchumi wa Tanzania umekuwa mara mbili au pato la taifa letu limeongezeka mara mbili. Hawaoni matumaini tena, tumewanyima ardhi. Sisi tuchape kazi kwani ni kwali tulikuwa tumelala na hatukuujua unyang'ao. Na bado. Hawatatupata tena si wanajua Tanga, Mtwara na Bagamoyo kubwa duniani vinakuja?
 
Huyu waziri wala hajatukana, ila tu amejisahau akajikuta amebwabwaja ukweli wotte hadharani. Siku Tanzania ikizinduka, kenya watahesabu maumivu
 
From: Cartels a threat to efficiency at port, JKIA, says Kamau - News - nation.co.ke 9/7/2013


kamau.jpg
Transport and Infrastructure Cabinet Secretary Michael Kamau gestures during a meeting with the Senate Committee on Energy and Transport at the Kenyatta International Conference Centre (KICC) July 9, 2013. On the left is Infrastructure Principal Secretary John Mosonik. ANN KAMONI


Waziri wa Usafirishaji na Miundo Mbinu wa Kenya Bwana Michael Kamau, leo ametoa kauli ya dharau kwa Tanzania kwenye kikao cha Kamati ya Seneti ya Wizara hiyo ya Usafirishaji na Miundombinu. Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa Kenyatta International Conference Center.

Wakati wa kikao hicho, pamoja na mambo mengine Bwana Kamau alisema: "iwapo watanzania wasingekuwa watu wa namna walivyo, bandari ya Mombasa ingekuwa imekufa kitambo. Kwa bahati nzuri, kwa mawazo yao ya kijamaa, hawawezi kupeleka vitu haraka"
“If the Tanzanians were not people that they are; Mombasa would have died a long time ago. Fortunately, with their Ujamaa thinking, they are not able to develop things very fast,”.

Maneno haya si maneno mazuri kutoka kwa Waziri wa nchi ambayo tunapanga kuingia nayo katika ushirikiano wa karibu katika Jumuiya ya Africa Mashariki.

Watanzania tunataka viongozi wetu wasimame imara na kuturudishia heshima mbele ya nchi za jirani na katika jumuiya ya kimataifa.

Ikumbukwe hivi karibuni tumesikia kauli za kejeli toka kwa Rais wa Rwanda, sasa hii nayo toka kwa Waziri wa Kenya na zingine zitafuata...


Watanzania wenzangu naomba maoni yenu.
Hakika sisi watanzania tumerogwa, tena ujamaa wa kinafki umeturoga hasaa! Wewe mleta mada una uzalendo wa kinafki kwa sababu ya ujamaa, ujamaa wa kinafki umekufumba macho, unashindwa kuona ukweli uliomo katika kauli hiyo, BADALA yake unachukulia kuwa umedharauliwa!....TUMEROGWA, NA ALIYETUROGA KESHAKUFA KITAMBO!
 
Huyu waziri wala hajatukana, ila tu amejisahau akajikuta amebwabwaja ukweli wotte hadharani. Siku Tanzania ikizinduka, kenya watahesabu maumivu
kama ni usingizi wa usiku ndiyo kwaanza saa5 tunakoroma, hatuamki hivi karibuni!
 
Watz wanaomsapoti huyu nyang'au nashindwa kuwaelewa kabisa. Hii ni dalili sasa kua utaifa kwishney kabisa. Pengine sasa JKT irejeshwe kwa lazima na kila ajiitaye mtz aende kufunzwa upya utaifa nakulitetea taifa hili tukufu tulojaaliwa na Mola na kurithishwa na mababu zetu waliopinga kila aina ya dharau na ujivuni wa wageni na wakoloni.

Hamna nchi yeyote ilioendelea duniani ambayo wananchi wake wako indenial na kudhani nje ndio kuzuri.. huyu nyang'au anatuita sisi wajamaa wakati sote tunajua Ujamaa ulishakwisha nchini tangu enzi za Mwinyi, Nyang'au anatuita wajamaa as a figure of speech kuonesha hatuna mafikara ya kimaendeleo na watz majuha wanamshangilia. Sasa hujiulizi mbona nnchi nyingi jirani na Kenya zina bandari lakini amejilinganisha na Tz, ukwlei ni kwamba wanajua sisi ni threat kwao na ndio maana wanatutajataja kudhihiri hofu yao. Tunachotakiwa kufanya ni kusimama kama kitu kimoja kuijenga na kuipenda nchi yetu na vizazi vyetu, tukianza kupambana na kumuunga mkono mgeni hatutoeza kusimama/

Wewe nadhani hata hauishi Tanzania! Anachomaanisha huyo waziri ni kuwa, kwa location yetu kijiografia inatakiwa tuwe tunawazidi mbali sana wakenya, lakini kwa vile tu tunakosa uongozi bora tunazidi kudorola na kuwapa nafasi, vinginevyo wasingekuwa mbele yetu. Hii ni chngamoto kwao na kwetu, wala sioni haja ya kubwabwaja na kuwabwatukia, yeye kaongea ukweli mtupu!
 
Hapa kuna mchanganyiko wa ukweli mchungu, na umaskini wa kidiplomasia wa huyo waziri.
 
From: Cartels a threat to efficiency at port, JKIA, says Kamau - News - nation.co.ke 9/7/2013


kamau.jpg
Transport and Infrastructure Cabinet Secretary Michael Kamau gestures during a meeting with the Senate Committee on Energy and Transport at the Kenyatta International Conference Centre (KICC) July 9, 2013. On the left is Infrastructure Principal Secretary John Mosonik. ANN KAMONI


Waziri wa Usafirishaji na Miundo Mbinu wa Kenya Bwana Michael Kamau, leo ametoa kauli ya dharau kwa Tanzania kwenye kikao cha Kamati ya Seneti ya Wizara hiyo ya Usafirishaji na Miundombinu. Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa Kenyatta International Conference Center.

Wakati wa kikao hicho, pamoja na mambo mengine Bwana Kamau alisema: "iwapo watanzania wasingekuwa watu wa namna walivyo, bandari ya Mombasa ingekuwa imekufa kitambo. Kwa bahati nzuri, kwa mawazo yao ya kijamaa, hawawezi kupeleka vitu haraka"
“If the Tanzanians were not people that they are; Mombasa would have died a long time ago. Fortunately, with their Ujamaa thinking, they are not able to develop things very fast,”.

Maneno haya si maneno mazuri kutoka kwa Waziri wa nchi ambayo tunapanga kuingia nayo katika ushirikiano wa karibu katika Jumuiya ya Africa Mashariki.

Watanzania tunataka viongozi wetu wasimame imara na kuturudishia heshima mbele ya nchi za jirani na katika jumuiya ya kimataifa.

Ikumbukwe hivi karibuni tumesikia kauli za kejeli toka kwa Rais wa Rwanda, sasa hii nayo toka kwa Waziri wa Kenya na zingine zitafuata...


Watanzania wenzangu naomba maoni yenu.

Nadhani comment yako ni mbaya zaidi kuliko ya huyo waziri...imejaa unafiki mkubwa sana. Kama mtu anakupenda atakuambia mapungufu yako...kama ni mnafiki kama ulivyo atakusifia kinafiki.

Nadhani ungefurahi kinafiki kuambiwa bandari ya dar inafanya kazi kuliko bandari yeyote ile ktk ukanda wa EA. Shame.
 
Swala siyo ujamaa,watanzania tufike mahali tubadilike na tusiwe wepesi wa kulalamika.Watanzania sisi si watendaji,Huyo kasema bandari lakini nenda TRA,nenda,Tanesco,nenda Dawasa nenda Ardhi n.k.,sisi ni wababaishaji,si watendaji,longo longo kibao.Huduma kwa wateja sifuri,unategemea nini? mtu uko kazini wewe wa kwanza kushiriki vitendo viovu, Rushwa hatujali kazi zetu toka viongozi wetu mpaka watu wa chini kabisa.
Tubadilike jamani!tunadharauliwa sana kiasi cha watu wa nchi zingine kusema ni rahisi kumnunua mtanzania ili akusaidie kufanikisha jambo ambalo si halali nchini TZ,uzalendo uko wapi?mabadiliko yaanze na mimi na wewe baadaye watafunga midomo yao.
 
Swala siyo ujamaa,watanzania tufike mahali tubadilike na tusiwe wepesi wa kulalamika.Watanzania sisi si watendaji,Huyo kasema bandari tu, lakini nenda TRA,nenda,Tanesco,nenda Dawasa nenda Ardhi n.k.,sisi ni wababaishaji,si watendaji,longo longo kibao.Huduma kwa wateja sifuri,unategemea nini? mtu uko kazini wewe wa kwanza kushiriki vitendo viovu, Rushwa hatujali kazi zetu toka viongozi wetu mpaka watu wa chini kabisa.Tusipobadilika watu watakuwa wanatumia fursa sisi tunakazania longolongo zetu tu.
Tubadilike jamani!tunadharauliwa sana kiasi cha watu wa nchi zingine kusema ni rahisi kumnunua mtanzania ili akusaidie kufanikisha jambo ambalo si halali nchini TZ,uzalendo uko wapi?mabadiliko yaanze na mimi na wewe baadaye watafunga midomo yao.
 
Huyo waziri wa Kenya alichokisema ni sahihi kabisa.Watanzania tumelala sana tena sana tu. Kama tungekuwa wajanja leo hii tungekuwa na Bandari kubwa tatu za uhakika. Tungekuwa na bandari Tanga, Dar es Salaam na Mtwara. Kwa maneno yake waziri huyu, ni kweli kabisa bandari ya Mombasa ingekuwa imekufa siku nyingi. Tatizo letu Watanzania ni watu tunaopenda sana kusifiwa. Akitokea mtu akatuambia ukweli, basi tunamuona ni adui! Mfano mzuri, angalia wabunge wa upinzani wanavyoonekana kama maadui wa Serikali ya Tanzania. Sababu tu wao wapinzani wanaiambia Serikali ukweli unaouma. Mimi nafikiri huu ni wakati wa kuukubali ukweli ili tubadilike. Sio kila kauli inayotolewa na majirani zetu, kwetu iwe "negative". Alichokisema Waziri Michael Kamau wa Kenya ni ukweli mtupu.
 
From: Cartels a threat to efficiency at port, JKIA, says Kamau - News - nation.co.ke 9/7/2013


kamau.jpg
Transport and Infrastructure Cabinet Secretary Michael Kamau gestures during a meeting with the Senate Committee on Energy and Transport at the Kenyatta International Conference Centre (KICC) July 9, 2013. On the left is Infrastructure Principal Secretary John Mosonik. ANN KAMONI


Waziri wa Usafirishaji na Miundo Mbinu wa Kenya Bwana Michael Kamau, leo ametoa kauli ya dharau kwa Tanzania kwenye kikao cha Kamati ya Seneti ya Wizara hiyo ya Usafirishaji na Miundombinu. Kikao hicho kilifanyika kwenye ukumbi wa Kenyatta International Conference Center.

Wakati wa kikao hicho, pamoja na mambo mengine Bwana Kamau alisema: "iwapo watanzania wasingekuwa watu wa namna walivyo, bandari ya Mombasa ingekuwa imekufa kitambo. Kwa bahati nzuri, kwa mawazo yao ya kijamaa, hawawezi kupeleka vitu haraka"
"If the Tanzanians were not people that they are; Mombasa would have died a long time ago. Fortunately, with their Ujamaa thinking, they are not able to develop things very fast,".

Maneno haya si maneno mazuri kutoka kwa Waziri wa nchi ambayo tunapanga kuingia nayo katika ushirikiano wa karibu katika Jumuiya ya Africa Mashariki.

Watanzania tunataka viongozi wetu wasimame imara na kuturudishia heshima mbele ya nchi za jirani na katika jumuiya ya kimataifa.

Ikumbukwe hivi karibuni tumesikia kauli za kejeli toka kwa Rais wa Rwanda, sasa hii nayo toka kwa Waziri wa Kenya na zingine zitafuata...


Watanzania wenzangu naomba maoni yenu.
Hivi tumedharauliwa au tumeambiwa ukweli..?? Mi naona huu ni ukweli unaouma..... Mbona wanaposema mlima Kilimanjaro upo kwao si tunakaa kimyaa tuu... Halafu, hivi ni nanai maarufu wa kuuza Tanzanite duniani wakati sisi wenye Tanzanite hata hatujulikani kama tunafanyaga shughuri hizo..??
 
Msijali. Wanaweweseka sasa. Uchumi wa Tanzania umekuwa mara mbili au pato la taifa letu limeongezeka mara mbili. Hawaoni matumaini tena, tumewanyima ardhi. Sisi tuchape kazi kwani ni kwali tulikuwa tumelala na hatukuujua unyang'ao. Na bado. Hawatatupata tena si wanajua Tanga, Mtwara na Bagamoyo kubwa duniani vinakuja?

huo uchumi umekuwa mara mbili kivipi mbona hata budget za mawizara zinapunguwa sana...hotel zote mbugani na mjini hasa arusha na zanzibar mameneja ni wakenya na waiters

 
kama ni usingizi wa usiku ndiyo kwaanza saa5 tunakoroma, hatuamki hivi karibuni!
Umesema kweli kabisa Kamanda! Safari yetu bado ni ndefu saaaaaaaaaana. Tumelala sana na tunakoroma vibaya mno, wakati wenzetu walishaamka kitambo sana. Watanzania ili walau tuamke, tunahitaji kiongozi kama Marehemu Hugo Chavez wa Venezuela au Paul Kagame wa Rwanda. Kwa mtazamo wangu hakuna hata kiongozi mmoja wa Tanzania anayemkaribia Hugo Chavez au Paul Kagame. Kwa kifupi, tunahitaji miaka kama mia mbili hivi ijayo kuamka kutoka kwenye usingizi huu. Huo ndio ukweli. Mwenye kununa na anune, na mwenye kuchukia na achukie!
 
Lazima atudharau,miaka 50 watanganyika wanaongozwa na katiba ya serikali ya muungano,hiv leo muungano ukivunjika,watanganyika wataongozwa na nn? sababu katiba ya muungano itakuwa haina kaz,kama tuna akili lazm tuiuluze serkal katiba moja iko wap? Yaan ya Tanganyika,imekwenda wap? Na kwa nn tunataka kuwa na katiba mpya wakt yet hatuna? Lazm tuwe na katiba yetu,kisha tujadili katiba ya muungano,ndio maana wazr katudharau.
 
Back
Top Bottom