Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,373
- 6,084
Jana kwenye taarifa ya habari saa 2 usiku niliona waziri wa fedha alipofanya ziara ya kushutukiza pale bandarini (dhow). Kwa kweli sikupendezwa jinsi waziri alivyokuwa akiwatuhumu watumishi wa TRA pale bandarini kuwa kiini cha kushuka mapato ya ukusanyaji za forodha.
Kwasasa kiuchumi hapa nchini kununua na kuuza bidhaa kumeshuka kwa kiasi kikubwa na hiyo imesababisha uagizaji wa bidhaa kutoka nje kushuka kwa kiasi kikubwa, ndugu waziri kwanza ukiwa waziri wa fedha na uchumi lazima ufanye utafiti nini kilichosababisha katika kipindi chako kama waziri iwe hivyo. Wafanyabiashara biashara wengi kwasasa wamekimbilia kupitisha mizigo Zanzibar kwanini? Unapotoa vitisho utawafukuza watumishi waliopo pale bandarini kwasababu ya kutokusanya kodi utafukuza wangapi?
Lazima Mheshimiwa Waziri ukae na wadau ujue tatizo liko wapi, kwasasa circulation ya pesa hapa nchini ipo chini sana na hilo ndio tatizo kubwa.
Leo ukimwondoa mfanyakazi wa TRA mwenye uzoefu na kumleta mfanyakazi mwingine kutoka chuoni asiye na uzoefu usitegemee kama kutakuwa na mafanikio. Kwasasa watumishi wote waliopo kazini wapo makini sana kwa masuala ya rushwa.
Kwasasa kiuchumi hapa nchini kununua na kuuza bidhaa kumeshuka kwa kiasi kikubwa na hiyo imesababisha uagizaji wa bidhaa kutoka nje kushuka kwa kiasi kikubwa, ndugu waziri kwanza ukiwa waziri wa fedha na uchumi lazima ufanye utafiti nini kilichosababisha katika kipindi chako kama waziri iwe hivyo. Wafanyabiashara biashara wengi kwasasa wamekimbilia kupitisha mizigo Zanzibar kwanini? Unapotoa vitisho utawafukuza watumishi waliopo pale bandarini kwasababu ya kutokusanya kodi utafukuza wangapi?
Lazima Mheshimiwa Waziri ukae na wadau ujue tatizo liko wapi, kwasasa circulation ya pesa hapa nchini ipo chini sana na hilo ndio tatizo kubwa.
Leo ukimwondoa mfanyakazi wa TRA mwenye uzoefu na kumleta mfanyakazi mwingine kutoka chuoni asiye na uzoefu usitegemee kama kutakuwa na mafanikio. Kwasasa watumishi wote waliopo kazini wapo makini sana kwa masuala ya rushwa.