Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,176
- 48,460
Sisi tusio na elimu ya uchumi hatujui lolote zaidi ya kutambua kwamba huku mtaani hela hakuna, na tatizo siyo tu hakuna hela bali hata ukiipata thamani yake imeshuka hivo haikidhi mahitaji!
Gharama za maisha zimekuwa kubwa sana na kama Waziri Mpango anaona hao TRA wa bandarini ndiyo tatizo, basi awafukuze na yeye mwenyewe aige tabia ya yule bwana awe ndiyo mkuu wa kila kitu hapo bandarini!
Gharama za maisha zimekuwa kubwa sana na kama Waziri Mpango anaona hao TRA wa bandarini ndiyo tatizo, basi awafukuze na yeye mwenyewe aige tabia ya yule bwana awe ndiyo mkuu wa kila kitu hapo bandarini!