jeromedean
New Member
- Dec 29, 2013
- 2
- 0
Dah!!!polen kwa wote
mbona atuoni hii habari kwenye media.
Poleni sana kwa kuondokewa na mpendwa wetu Dr. Willium Mgimwa. Kama ni kazi ya Mungu haina makosa kabisa. R.I.P Dr.Pole kwa familia na ndugu
Poleni sana wafiwa kwa msiba.