So sad
Mungu amlaze panapomstahili
Angalizo:Hazina wasiutumie msiba kuhalalisha hujuma yoyote kwa Taifa.
Red= kazi ya Mungu haina makosa
So sad
Mungu amlaze panapomstahili
Angalizo:Hazina wasiutumie msiba kuhalalisha hujuma yoyote kwa Taifa.
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii
kumbe wewe mtani,mla mbwa,poleni sana
so sad.....hivi alkuwa Waziri wa?.....
Nakumbuka matamko yake ya kupinga Nikataba ya siri pia kupinga wachina kuja kufanya biashara kariakoo na mitaji la Million kumi
Nimepokea taarifa ya kusikitisha.
Mzee wetu na mjomba wangu, Dr. William Mgimwa amefariki dunia asubuhi hii