Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dr Shukuru Kawambwa atakuwa Clouds FM kuanzia saa mbili kuzungumzia mgomo wa Waalimu unaoendelea nchini.
Nakuomba umfuatilie na kutujulisha kinachoendelea, kwani wengi wetu hatutakuwa na fursa ya kumsikiliza.
AMANI IWE NASI!
Nakuomba umfuatilie na kutujulisha kinachoendelea, kwani wengi wetu hatutakuwa na fursa ya kumsikiliza.
AMANI IWE NASI!