DOKEZO Waziri wa Elimu, huu mtindo wa Kubakiza watoto shuleni wakati wa likizo ni Sahihi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Wengine wanatoka saa 8.30 mchana wengine saa 9.30 mchana ijumaa wengine wanatoka saa 6.30 mchana wengine wanatoka 9.30 wengine wanafunga likizo wengine hawafungi yaana mambo hayaeleweki kila wilaya au mkoa na wanavyo jisikia
Ni kama vile hakuna utaratibu kabisa
 
Ttzo sio wenye shule ttzo ni wazazi
Wazazi weng hawajielew na hawajui kuoji wanaona wenye mashule km miungu mtu
Sababu ayo mambo yote huwa yanafanyika kwenye vikao vya wazazi na shule na wazazi huwa wanakubali wenyewe na ww mzazi mmoja ukisimama kupinga unaonekana km vle ujui kitu hamnazo

Tena izi shule za kidini ndo znaongoza kwa ujinga uwo karo kubwa af ikifka likizo watt wa dlasa la 4/7 wamasema wahamie shule wakae boarding ila wapate mda wa kusoma na kujisomea af tena ikifka likizo wanatwambia tutoe pesa za kuwaudumia watoto wetu wanaobakia mashulen na bado mazazi majinga yanakubali na yanatoa pesa ww mmja ukioji ttzo na mtt wako anaweza akatengwa shulen

Mkitaka kukomesha hii tabia anzeni na wazazi ndo wanakubali ujanga na kuusapoti upuuzi huu wazazi wengi ni wapuuzi na wajinga na wengne bado wanatabia ya kujipendekeza yan karo anatoa ila bado anajipendekeza kwa wakuu wa shule na waalimu

Asilimia 80 % ya wazazi ni wajinga sana x10000
Hasa uwe kwenye kikao na wamama wengi!....wao wanaona kama "sifa" mtoto kuwepo shuleni wiki nzima!

Ukijaribu kuwadomea hadi waraka wa Kamishna wa Elimuvjuu ya katazo hili hawaelewi!....hasa ukute ma Single mother wanaojipendekeza kwa walimu wa shule hiyo watakupinga mpaka ujione hufai!
 
Mimi wakwangu apewe tuu package.

Wewe mmoja hutaki mwanao apewe unahamasisha nchi nzima.

Waache walimu na taaluma Yao wafanye vile inafaaa

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanza sijazungumzia package popote,pili nina haki ya kufanya hiki ninachokifanya na ukipitia comment utaona wengi hawapendi huu utaratibu,kwahio kama wewe unafurahia ni uamuzi wako
 
Serikali irekebishe mtaala kama watoto tunawataka wasome muda mchache, kwa schedule ilivyo kwa elimu yetu kwa mwaka ni ngumu kumaliza topics zote with accuracy kwa muda husika..

Kwa ratba ya vipind 5 kwa wiki, approximately dk 200k unataka mtoto amalize syllabus ya physics au biology form 3??? Apo hatujazungumzia advance..

Sometimes shule zetu na walimu wetu wanatafta namna ya kusaidia watoto wetu kwa mazingira ambayo sio rfk af watu tunalaumu tuu...

Kwa primary naweza kukubaliana na nyie ila kwa o level na advanc ni sawa walimu ni sahihi kuwafundsha watoto mpk likizo unless otherwise tubadilishe mtaala ila kwa mtaala huu wa sasa acha wasome
 
Fatilia international school zote huwezi kuta watoto wanasoma siku nzima au wana remiduals, tuition

International zinajali sana makuzi ya mtoto ikiwemo michezo ie kuogelea, kukimbia,mpira, coloring, cooking, programming, music etc.

Kule mtoto huingia darasani Saa 1 saa 7 kasha toka
Shule nying za private hususan advanced schools wao huanza registration ya wanafunz kuanzia mwez wa pili au watatu na watoto wanakua wanaanza kufundishwa mpaka shule za serikali zikianza kupokea watoto mwez wa 7 wenzao tyr wameshaua syllabu yote ya form five af matokeo yakija wakifaulisha mnasema wanaiba mitihani
 
Shule nying za private hususan advanced schools wao huanza registration ya wanafunz kuanzia mwez wa pili au watatu na watoto wanakua wanaanza kufundishwa mpaka shule za serikali zikianza kupokea watoto mwez wa 7 wenzao tyr wameshaua syllabu yote ya form five af matokeo yakija wakifaulisha mnasema wanaiba mitihani
Acha Uongo
 
Mheshimiwa Waziri,

Kumekuwa na mtindo wa wamiliki wa shule kuamua tu kwa utashi wao kubakiza watoto shuleni(madarasa ya mitihani) kwa kigezo kwamba wapate muda wa kumalizia mitaala tena bila kushirikisha wazazi huku wakiwa tayari wamepanga na gharama zao.

Hivi walimu wanashindwa vipi kumaliza mtaala kwenye muda uliopangwa?Kibaya zaidi wamekuwa wakiongeza gharama za ziada za Tuition fee na transport hasa kwa shule binafsi.

Sasa kama lengo la walimu ni kumaliza mtaala hili si jukumu lao,kwanini gharama zirudi kwa mzazi?

Je ni sahihi mtoto kusoma bila kupumzika?Kuna watoto wanasoma mbali na wazazi wanahitaji kuonana na wazazi wao ambao hawajawaona kwa muda mrefu,sasa kumshikilia mtoto shuleni muda mrefu kisaikolojia imekaaje?

Mimi binafsi naona shule zimeamua kubuni tu mradi wa kujipatia kipato kwa kigezo cha kumaliza mitaala.

Tayari kuna shule zimeshatoa taarifa kwamba darasa la nne hawatafunga shule ili waendelee kufundishwa,Je mmeruhusu?

Tunaomba hili suala lizuiliwe kisheria na sio kwa matamko ya kila mara maana nakumbuka mwaka Jana ulitoa tamko la kuzuia watoto kubakizwa shuleni ila naona linajirudia tena.

Pia soma: Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, sisitiza umuhimu wa kutowabakiza watoto shule kipindi cha likizo

Ahsante.
Sio kubakiza watoto shule TU. Walipiga marufuku michango shuleni lakini hakuna kilichobadilika.
IMG_20230530_173806_174.jpg
 
Mheshimiwa Waziri,

Kumekuwa na mtindo wa wamiliki wa shule kuamua tu kwa utashi wao kubakiza watoto shuleni(madarasa ya mitihani) kwa kigezo kwamba wapate muda wa kumalizia mitaala tena bila kushirikisha wazazi huku wakiwa tayari wamepanga na gharama zao.

Hivi walimu wanashindwa vipi kumaliza mtaala kwenye muda uliopangwa?Kibaya zaidi wamekuwa wakiongeza gharama za ziada za Tuition fee na transport hasa kwa shule binafsi.

Sasa kama lengo la walimu ni kumaliza mtaala hili si jukumu lao,kwanini gharama zirudi kwa mzazi?

Je ni sahihi mtoto kusoma bila kupumzika?Kuna watoto wanasoma mbali na wazazi wanahitaji kuonana na wazazi wao ambao hawajawaona kwa muda mrefu,sasa kumshikilia mtoto shuleni muda mrefu kisaikolojia imekaaje?

Mimi binafsi naona shule zimeamua kubuni tu mradi wa kujipatia kipato kwa kigezo cha kumaliza mitaala.

Tayari kuna shule zimeshatoa taarifa kwamba darasa la nne hawatafunga shule ili waendelee kufundishwa,Je mmeruhusu?

Tunaomba hili suala lizuiliwe kisheria na sio kwa matamko ya kila mara maana nakumbuka mwaka Jana ulitoa tamko la kuzuia watoto kubakizwa shuleni ila naona linajirudia tena.

Pia soma: Waziri wa Elimu Prof. Mkenda, sisitiza umuhimu wa kutowabakiza watoto shule kipindi cha likizo

Ahsante.
Wanakera sana jamani
Tunataka watoto wetu nyumbani
 
Back
Top Bottom