Waziri Ummy Mwalimu: Maduka ya Dawa nje ya hospitali yaliyo ndani ya mita 500 kuondolewa

Wagonjwa/ndugu wanafuata dawa umbali mrefu tena kwa gharama kubwa!
Huyu waziri angesema kuwa serikali imetekeleza maboresho ambayo kwa sasa mwisho wa umbali elekezi kwa mgonjwa kupata dawa ni mita 500 angeeleweka!
Ajitathmini!!
 
Kachemka pakubwa sana
 
Huyu waziri kweli anafanya kazi vizuri , haje haone hoja za wafamasia vs doctors, famasi kuwa mita mia haina shida mteja anaweza ifuata lingana na mahitaji yake ,waziri shughulika na Mambo ya msingi kwanza
 
Mungu ibariki JF
 
Mungu ibariki JF
Mkuu nchii hii imegeuka Shamba la bibi hasa ukiona mfamasia Sasa anashupaza shingo kana kwamba yeye ndo kila kitu KWa mgonjwa kisa tu kapitia pale ,

Hiko hivi mkuu ukisoma pharmacokinetics, pharmacodynamics ambayo ndo misingi ya course ya pharmacy utajua ,wameanza kujitoa ufaham, leo hata pharmacy nje ya utafiti, nje ya kutengeneza dawa viwandani, Kama ni kutibu tu wawepo wasiwepo hakuna kinachoharibika, sijui why wajiona muhim na wa ziada,

Tuna speciality tz na nje za kutengeneza vifaa na kurepair hii ni industry muhim Sana , maana vifaa vyote mfano , x-ray, MRI, CT SCAN Hawa ndo wenyewe ila hawatambi, Sasa Hawa wafamasia majingambo ndo KILA kitu,
Waelewe mgonjwa hatibwi na mtu mmoja , mbele ya mgonjwa mmoja Kuna team nyingi Ili apote ,

Mwisho hatima ya mgonjwa bado ipo KWa doctor, yeye ndo anaamua
1 ampime nini
2.achunguze nini, na atoe matibabu yapi , Sasa imefika wafamasia Sasa eti ndo wanaanza wapangia maboss wao ,WAMEROGWA HAWA
 
Huu ndiyo ujamaa. Ujamaa ni mfumo wa kipuuzi kabisa wa kuendesha nchi. Pilipili ya shamba yakuwashia nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…