Na mkurugenzi akikuona muhasibu ni kikwazo anakutoa halmashauri anakupeleka shuleni huko ukawe muhasibu wa sekondari/ shule ya msingi ushike hela za chaki za shuleMadam Ummy apitie huu uzi atajifunza mengi. Wahasibu na wakaguzi hawana nguvu kuzuia upigaji, wakionewa huruma baadhi ya mambo wanapewa mgao kiasi. Wale ni makarani wenye nguvu wakuu idara na mkurugenzi.