Mkomoli
JF-Expert Member
- Jul 16, 2016
- 382
- 196
tatzo la kukulupuka ndo hlo mkwele alipga mtonyo lakn akuna alokua analalamika dahyan 19000 kwa siku 60
tatzo la kukulupuka ndo hlo mkwele alipga mtonyo lakn akuna alokua analalamika dahyan 19000 kwa siku 60
yani mimi kaishia kunivuruga tuSijaelewa kitu alichokizungumza
Vyema kivipi embu elezeaHawezi kujibu kwa kukufurahisha wewe
Ulie kalili kuipinga serikali mitandaoni ndio ujanja kumbe kopo tu.
Ndalichako kaeleza vyema
Wewe kama hujaridhika kanywe uji ulale
Mie ndio mwanzilishi wa mada?Andika alichokieleza hapa mkuu!!
Wanajaribu wasomi, yakiwashinda wanaanza kuwewesekayani mimi kaishia kunivuruga tu
kaulizwa unazungumzije kushuka kwa idadi ya wanafunzi wanaopewa mikopo ,kutoka asilmia 70 mpaka 20,majibu yake sasa et oooh kule tanga wengine walisoma wakakosa ajira,wakarud chuo na wakapata mkopo tena,nguvu zikaisha
Tatizo wewe ni mgumu wa kuelewa au ulimsikiliza ukiwa tayari una majibu yako!!naangalia taarifa ya habari hapa tbc,serikali ya wanafunzi udsm wamepeleka malalamiko yao kuhusu kutoridhika mgawanyo wa mikopo kwa wanafunzi waliopata mkopo,wametoa maelezo yao safi kabisa.sasa ikafika zamu ya waziri wa elimu kujibu nia yao na ni jinsi gani wamegawanya ,na kwa faida gani na hiyo inawasaidia vip wanafunzi,Aisee mama ameishia kujikanyaga kanyaga tu hadi naandika hapa hakuna nlichoelewa
Kwa hio hujamsikiliza... Sasa nini kimekuleta kumtetea? Au ulikuwa hujafikisha idadi ya post za boss pale lumumba?Mie ndio mwanzilishi wa mada?
Hawezi kujibu kwa kukufurahisha wewe
Ulie kalili kuipinga serikali mitandaoni ndio ujanja kumbe kopo tu.
Ndalichako kaeleza vyema
Wewe kama hujaridhika kanywe uji ulale
kwa alivyojibu ni kama mambo yaleyalekajibu kimwendo kasi.
Hiyo 8500 ya vocha aunasikia kasema boom 8500 kama kawa per day
Kiufupi, Waliokidhi vigezo vya sasa watapata mkopo wao, zoezi bado linaendelea!wewe umeelewa nini pale,mara huko tanga mara form four wenye DD,hapo unaelewa nn
ha ha ha,kumbe mkuu uko kwenye system...Mie ndio mwanzilishi wa mada?