Waziri Nchimbi umetia aibu

Tutabaki kuwa nchi ya siasa ktk kila jambo na lele-lele mpaka kiyama! Hatutakaa sawa mpaka tuanze kuminyana vitambi ndo mambo yataenda. Hatuendi lakini tunataka kufika. Ajabu...!
 
Leo asubuhi hii (Morning Magic-MagicFM) waziri wa michezo Nchimbi kapigiwa simu, kaulizwa inakuwaje
juzi uwanjani neti(nyavu) ilikatika ikabidi ifungwe katani(ilichukua zaidi ya dk 5 kufunga katani) na fainali yake jana
umeme umekatika, tunaomba maelezo yako!! Aaagh Jamaa akakata simu!!
Hii aibu sijui nani atai-handle!!

Hakuwa na majibu. Mawaziri huwa wanaandaliwa maswali na majibu yake kabla ya kuhojiwa na waandishi. Kimsingi wao ni kama makasuku tu. Sasa hayo maswali ya papo kwa papo unadhani angepata wapi majibu? Kwa ujumla nchi hii hatuhitaji kuwa na mawaziri wanaongeza gharama za bure tu. Makatibu wakuu wanaweza kabisa kufanya kazi za hawa makasuku.
 
Mimi nimeshajiamulia kuwa Watanzania tunasumbuliwa na uswahili. Utanashati kwetu ni mwiko, ubabaishaji daima.

Kwenye hili la Kagame cup, dalili za uswahili zilianza kujionesha mapema kabisa pale kombe lilipopokelewa airport. Kwa kawaida, ile ni shughuli rasmi ambayo ingetakiwa iwe na staha. Nchi zingine wangepamba rasmi na kutumia watoto waliovalia nguo safi za mchezo wa mpira kulipokea lile kombe. Maofisa wa TFF wangetakiwa wawepo na suti zao, glovu nyeupe za sufi, kuwepo carpet lekundu, mabaunsa watanashati na coverage nzuri ya TV. Kungekuwa na msafara mpaka mjini, na bendera za TFF, FIFA na Kagame Cup zingepamba barabara yote mpaka litapohifadhiwa kombe.

Badala yake?....Picha kwenye gazeti zilimunoesha jibaba limoja limevaa ndala, kitambi hicho, mkono mmoja kashika sijui takataka gani, na mkono mwingine eti kashika kikomba kama vile ni kopo la kutawazia.

Na ubaya zaidi, Super Sport ilikuwepo kuturekodi tulivyo wababaishaji
 
Ndivyo tulivyo wooooote. Tumewekwa kwenye ambulance na ccm. Hujui au huelewi.Sasa elewa na chukua HATUA MTANZANIA MWENYE AKILI.
 
hii ndio bongoland.mnashangaa umeme kukatika uwanjani!vp mahospitalini unapokatwa na jenereta kubwa hamna huku mgonjwa akiwa anafanyiwa operation?mnafikiri viongozi wanapoenda kutibiwa nje ni wajinga?
 
Leo asubuhi hii (Morning Magic-MagicFM) waziri wa michezo Nchimbi kapigiwa simu, kaulizwa inakuwaje
juzi uwanjani neti(nyavu) ilikatika ikabidi ifungwe katani(ilichukua zaidi ya dk 5 kufunga katani) na fainali yake jana
umeme umekatika, tunaomba maelezo yako!! Aaagh Jamaa akakata simu!!
Hii aibu sijui nani atai-handle!!
Aisee nilikuwa sijui kuwa Waziri anatakiwe hajue kuwa nyavu ziko sawa uwanjani!
Hili la Umeme mh, si wangepiga Tanesco moja kwa moja?
Kukata cm hapo ndio haikuwa sahihi!!
 
Leo asubuhi hii (Morning Magic-MagicFM) waziri wa michezo Nchimbi kapigiwa simu, kaulizwa inakuwaje
juzi uwanjani neti(nyavu) ilikatika ikabidi ifungwe katani(ilichukua zaidi ya dk 5 kufunga katani) na fainali yake jana
umeme umekatika, tunaomba maelezo yako!! Aaagh Jamaa akakata simu!!
Hii aibu sijui nani atai-handle!!

Watangazaji wengine professionalism yao siielewi kabisa. Kwenye suala kama hilo huwezi kumpigia simu waziri na kutaka ufafanuzi kwenye simu. suala lenyewe ni la aibu halafu eti una mpigia simu akujibu. kwa mfano wewe ulitaka ajibu vipi ili ulidhike? siyo kila isue unakurupuka kumtwangia simu waziri, inamaana kabla ya kufika kwa waziri nani mtu wake wa chini kicheo mliyempigia? hili ndio tatizo la kuokota okota watangazaji.
 
Watangazaji wengine professionalism yao siielewi kabisa. Kwenye suala kama hilo huwezi kumpigia simu waziri na kutaka ufafanuzi kwenye simu. suala lenyewe ni la aibu halafu eti una mpigia simu akujibu. kwa mfano wewe ulitaka ajibu vipi ili ulidhike? siyo kila isue unakurupuka kumtwangia simu waziri, inamaana kabla ya kufika kwa waziri nani mtu wake wa chini kicheo mliyempigia? hili ndio tatizo la kuokota okota watangazaji.

Ndugu hawa watangazaji wako sahihi kabisa!! Walifikia hatua ya kumtwangia Waziri kwanza yeye ndiye aliyekuwamgeni Rasmi, so alikuwapo uwanjani!! Isitoshe wizara ya michezo ndiyo ina jukumu la kuhakikisha michezo inakuwa kwenye kiwango na ubora unaotakiwa kwani Inahusisha nchi nyingi(Ubora ikiwapo maandalizi, uwanja, ulinzi wa wachezaji n.k), kama yeye hakustahili kujibu sasa kwanini asiseme yeye sio msemaji na apigiwe mtu wa chini yake??

Its so shame, yy ndio mpango mzima, na kama watendaji wake wamemuharibia basi wawajibishwe, mbona yule mhaya ilipogoma CD alitolewa kafara??
 
Leo asubuhi hii (Morning Magic-MagicFM) waziri wa michezo Nchimbi kapigiwa simu, kaulizwa inakuwaje
juzi uwanjani neti(nyavu) ilikatika ikabidi ifungwe katani(ilichukua zaidi ya dk 5 kufunga katani) na fainali yake jana
umeme umekatika, tunaomba maelezo yako!! Aaagh Jamaa akakata simu!!
Hii aibu sijui nani atai-handle!!

Waosha vinywa watakuja na kusema mtangazaji alikuwa anatafuta umaarufu kwa kuuliza maswali magumu kwa waziri
 
Kwa kweli ile aibu haielezeki na waziri kaona ni bora alivyokata simu maana angeongea angezidisha aibu zaidi.
 
Watangazaji wengine professionalism yao siielewi kabisa. Kwenye suala kama hilo huwezi kumpigia simu waziri na kutaka ufafanuzi kwenye simu. suala lenyewe ni la aibu halafu eti una mpigia simu akujibu. kwa mfano wewe ulitaka ajibu vipi ili ulidhike? siyo kila isue unakurupuka kumtwangia simu waziri, inamaana kabla ya kufika kwa waziri nani mtu wake wa chini kicheo mliyempigia? hili ndio tatizo la kuokota okota watangazaji.

Waosha vinywa bana

Tayari mmeanza ndo maana tunaendelea kupiga hatua kurudi nyuma kila siku
 
Mimi nimeshajiamulia kuwa Watanzania tunasumbuliwa na uswahili. Utanashati kwetu ni mwiko, ubabaishaji daima.

Kwenye hili la Kagame cup, dalili za uswahili zilianza kujionesha mapema kabisa pale kombe lilipopokelewa airport. Kwa kawaida, ile ni shughuli rasmi ambayo ingetakiwa iwe na staha. Nchi zingine wangepamba rasmi na kutumia watoto waliovalia nguo safi za mchezo wa mpira kulipokea lile kombe. Maofisa wa TFF wangetakiwa wawepo na suti zao, glovu nyeupe za sufi, kuwepo carpet lekundu, mabaunsa watanashati na coverage nzuri ya TV. Kungekuwa na msafara mpaka mjini, na bendera za TFF, FIFA na Kagame Cup zingepamba barabara yote mpaka litapohifadhiwa kombe.

Badala yake?....Picha kwenye gazeti zilimunoesha jibaba limoja limevaa ndala, kitambi hicho, mkono mmoja kashika sijui takataka gani, na mkono mwingine eti kashika kikomba kama vile ni kopo la kutawazia.

Na ubaya zaidi, Super Sport ilikuwepo kuturekodi tulivyo wababaishaji


mkuu hapa nimekukubali.....hata mimi nilishangaa kweli.........ila jana ilikuwa aibu balaaaaaaaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom