Kyenju
JF-Expert Member
- Jun 16, 2012
- 4,621
- 1,706
Kaka soma vizuri maneno ya Maalim ndo uandike hapa., Nchimbi alipaswa kuitaja Tanganyika kwanza kama ndio nchi ya kigaidi ndo aje aropoke aisemee Zanzibar., Kenya wameshauliwa masheikh mara ngap kwa risasi mbona haijatangwaza kama Kenya ni nchi ya Kigaidi? msiwe majuha Tanganyika kutaka kuimeza Zanzibar kwa muungano wenu feki., ongeeni maneno ya msingi kwenye public media sio ujinga
Mi nachukia watu wenye vichwa vibovu km wewe, tunaiongelea Tanzania siyo Kenya.