Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye pamoja na viongozi wenzake Serikalini ni binadamu kama wengine, hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani kuhusu #Tozo.
Amesema “Katika kugusanagusana kuna maeneo tunakosea, sisi ni binadamu kwani tutashindwa kukosea? Hata ninyi kwenye familia zenu kuna siku mnakosea.”
Ameongeza “Katika kutekeleza kuna maeneo tutakosea, hata juzi Chama kimetupa maelekezo ya kuangalia utaratibu wa utozaji, lakini isiondoe mantiki ya ukusanyaji, nchi haiwezi kwenda bila makusanyo.”
Makusanyo ya Kodi na tozo za kinyanganyi wapi wapi !? 😤😢😢Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye pamoja na viongozi wenzake Serikalini ni binadamu kama wengine, hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani kuhusu #Tozo.
Amesema “Katika kugusanagusana kuna maeneo tunakosea, sisi ni binadamu kwani tutashindwa kukosea? Hata ninyi kwenye familia zenu kuna siku mnakosea.”
Ameongeza “Katika kutekeleza kuna maeneo tutakosea, hata juzi Chama kimetupa maelekezo ya kuangalia utaratibu wa utozaji, lakini isiondoe mantiki ya ukusanyaji, nchi haiwezi kwenda bila makusanyo.”
Ajiuzulu basi kama ni kweliWaziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye pamoja na viongozi wenzake Serikalini ni binadamu kama wengine, hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani kuhusu #Tozo.
Amesema “Katika kugusanagusana kuna maeneo tunakosea, sisi ni binadamu kwani tutashindwa kukosea? Hata ninyi kwenye familia zenu kuna siku mnakosea.”
Ameongeza “Katika kutekeleza kuna maeneo tutakosea, hata juzi Chama kimetupa maelekezo ya kuangalia utaratibu wa utozaji, lakini isiondoe mantiki ya ukusanyaji, nchi haiwezi kwenda bila makusanyo.”
Yeye hajaifaua Taasisi ya Urais, Taasisi ya urais imejichafua yenyewe kwa kumuacha aendelee kuwa kwenye hicho kiti ilhali dhamana ya kumtoa muda wowote inayo.Nimerudia clip hiyo zaidi ya mara tatu, Amesema wao ni binadamu, hivyo hufanya makosa.
Kauli hii ni ya kiungwana na ya kujishusha, hongera kwake.
Bt hakuna mahala amesema anaomba MSAMAHA. Hajaomba msamaha Bado, hivyo aombe radhi hadharani.
Akumbuke pia hata akiomba radhi, tunaweza msamehe, lakini hatutoruhusu aendelee kukalia kiti hicho sababu ameichafua sana TAASISI ya URAIS Kwa kauli zake za KILEVI.
Haya hutokea pale ambapo tu, WATEULO wamemzidi ujanja na akili MTEULE kitu ambacho ni lazima tukubaliane navyo tu.Kwenye Urais safari hii tumepigwa,WATEULE wanamwongoza MTEUZI!!
Watanzania tumwombe sana Mungu atuepushe na kikombe hiki!
Ni dhuluma kwakua anaichukua bila mhusika kuridhia, na kwamba anaichukua bila ya kutoa huduma yoyote inayostahili kulipiwa kupitia hizo tozo, yani anakata tu kwakua kaamua kukata.Tozo hutozwa kwa kutumia huduma fulani na yule mtoa huduma hiyo, hizi tozo za Mwigulu ni za nini?
Tunalipa Kodi zote stahiki hizi tozo za Mwigulu ni zuluma tu.
Huko kwenye kupiga pesa ndefuKama kweli Yuko serious na msamaha asitishe ununuzi wa mashangingi
wewe hukosei bali unafanya kwa maksudi.kama ni issue ya tozo wengi walilalamika sana lkn ukaweka pamba masikioni ni kuisifia sana bajeti yako kuwa ni ya wananchi.Leo yako wapi?shida mkipewa madaraka viongozi wengi wa tanzania na afrika kwa ujumla mnajisahau mlikotoka.Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye pamoja na viongozi wenzake Serikalini ni binadamu kama wengine, hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani kuhusu #Tozo.
Amesema “Katika kugusanagusana kuna maeneo tunakosea, sisi ni binadamu kwani tutashindwa kukosea? Hata ninyi kwenye familia zenu kuna siku mnakosea.”
Ameongeza “Katika kutekeleza kuna maeneo tutakosea, hata juzi Chama kimetupa maelekezo ya kuangalia utaratibu wa utozaji, lakini isiondoe mantiki ya ukusanyaji, nchi haiwezi kwenda bila makusanyo.”
hatuwezi kuwa na rais wa hovyo namna hiyo wa kwenye miamba.Na mkinuna atakuwa Rais wenu mwaka 2030[emoji16]