Kijogoodi
JF-Expert Member
- Mar 29, 2021
- 1,361
- 2,373
Waziri wa Fedha, Dkt Mwigulu Nchemba amesema yeye pamoja na viongozi wenzake Serikalini ni binadamu kama wengine, hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani kuhusu #Tozo.
Amesema “Katika kugusanagusana kuna maeneo tunakosea, sisi ni binadamu kwani tutashindwa kukosea? Hata ninyi kwenye familia zenu kuna siku mnakosea.”
Ameongeza “Katika kutekeleza kuna maeneo tutakosea, hata juzi Chama kimetupa maelekezo ya kuangalia utaratibu wa utozaji, lakini isiondoe mantiki ya ukusanyaji, nchi haiwezi kwenda bila makusanyo.”
Amesema “Katika kugusanagusana kuna maeneo tunakosea, sisi ni binadamu kwani tutashindwa kukosea? Hata ninyi kwenye familia zenu kuna siku mnakosea.”
Ameongeza “Katika kutekeleza kuna maeneo tutakosea, hata juzi Chama kimetupa maelekezo ya kuangalia utaratibu wa utozaji, lakini isiondoe mantiki ya ukusanyaji, nchi haiwezi kwenda bila makusanyo.”