Waziri Nchemba: Hata mimi ni binadamu tu, ninakosea

Waziri Nchemba: Hata mimi ni binadamu tu, ninakosea

Mtaepukana vipi na njama za kukwepakodi kama mnazo kodi kama ya magari 100% ya thamani ya gari. Lazima kuwe na viwango vya kodi ambavyo vinamhamasisha na kumshawishi mlipa kodi kulipa kwa hiari na si vile vinavyo mshawishi kwenda kufanya mazingira ya kuongea na mtoza kodi namna ya kukwepa na kupunguza kiwango.
 
Mbona kama alikuwa anataka kusema " Tumepokea maelezo chama kimekufa" 🙂 🙂
 
Waziri wa fedha Dkt Mwigulu Nchemba wakati akibanwa maswali na wananchi huko Sirari amesema yeye pamoja na viongozi wenzake serikalini ni binadamu tu kama wengine hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani hivyo ameomba kusamehewa kwenye hili swala la tozo na ameunda timu ya kupitia upya namna tozo zinavyokusanywa na kuumiza wananchi.

View attachment 2355228
Ina maana walipitisha tozo bila tafiti ya kina?

Hawafai kuwa viongozi hawa
 
Waziri wa fedha Dkt Mwigulu Nchemba wakati akibanwa maswali na wananchi huko Sirari amesema yeye pamoja na viongozi wenzake serikalini ni binadamu tu kama wengine hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani hivyo ameomba kusamehewa kwenye hili swala la tozo na ameunda timu ya kupitia upya namna tozo zinavyokusanywa na kuumiza wananchi.

View attachment 2355228
Tengua kwaza ile kauli ya kwamba wasiokubaliana na tozo wahamie Burundi ni kauli ya dhihaka mno
 
Waziri wa fedha Dkt Mwigulu Nchemba wakati akibanwa maswali na wananchi huko Sirari amesema yeye pamoja na viongozi wenzake serikalini ni binadamu tu kama wengine hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani hivyo ameomba kusamehewa kwenye hili swala la tozo na ameunda timu ya kupitia upya namna tozo zinavyokusanywa na kuumiza wananchi.

View attachment 2355228
Ajiuzuru kwanza ndipo aombe msamaha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi msameheni,amekubali
Tozo zitarekebishwa tuweni wavumilivu

Ova
 
Waziri wa fedha Dkt Mwigulu Nchemba wakati akibanwa maswali na wananchi huko Sirari amesema yeye pamoja na viongozi wenzake serikalini ni binadamu tu kama wengine hivyo lazima watafanya makosa kwenye maamuzi fulani hivyo ameomba kusamehewa kwenye hili swala la tozo na ameunda timu ya kupitia upya namna tozo zinavyokusanywa na kuumiza wananchi.

View attachment 2355228
Ni maneno tu haya ya kuwadanganya wananchi! matendo hayaakisi anachosema
 
Back
Top Bottom