Waziri Nape: Starlink inakamilisha hatua za mwisho ipate vibali na kuanza kutoa huduma

BARD AI

JF-Expert Member
Jul 24, 2018
3,377
8,121
IMG_20240226_204316_229.jpg

MAWASILIANO: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Kampuni ya Starlink inayotoa Huduma za Intaneti kwa kutumia 'Satelaiti' inakamilisha hatua za mwisho ili kupata vibali vya kutoa huduma nchini.

Ametoa kauli hiyo baada ya kuulizwa na Mdau kupitia X (zamani Twitter) kuhusu uwezekano wa Starlink kutoa huduma kwasababu Watoa Huduma waliopo Intaneti zao zinasuasua.

Nape ameongeza kuwa Starlink ikishatimiza taratibu zote itaanza kutoa huduma na kwamba Serikali inasubiri wakamilishe tu taratibu hizo. Ikumbukwe, moja kati ya Matakwa ilielezwa kuwa Starlink inatakiwa kuwa na Ofisi zake Tanzania.
 
Nape ameongeza kuwa Starlink ikishatimiza taratibu zote itaanza kutoa huduma na kwamba Serikali inasubiri wakamilishe tu taratibu hizo. Ikumbukwe, moja kati ya Matakwa ilielezwa kuwa Starlink inatakiwa kuwa na Ofisi zake Tanzania.

Haya ni majibu ya kisiasa tu...

Starlink wao walishasema kuwa serikali yetu ndio inayowa kwamisha kwa wakati ule...
 
View attachment 2917429
MAWASILIANO: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Kampuni ya Starlink inayotoa Huduma za Intaneti kwa kutumia 'Satelaiti' inakamilisha hatua za mwisho ili kupata vibali vya kutoa huduma nchini.

Ametoa kauli hiyo baada ya kuulizwa na Mdau kupitia X (zamani Twitter) kuhusu uwezekano wa Starlink kutoa huduma kwasababu Watoa Huduma waliopo Intaneti zao zinasuasua.

Nape ameongeza kuwa Starlink ikishatimiza taratibu zote itaanza kutoa huduma na kwamba Serikali inasubiri wakamilishe tu taratibu hizo. Ikumbukwe, moja kati ya Matakwa ilielezwa kuwa Starlink inatakiwa kuwa na Ofisi zake Tanzania.
Kama jambo hilo halitaambatana na kushuka kwa gharama za internet, basi ni bure tu.
 
View attachment 2917429
MAWASILIANO: Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amesema Kampuni ya Starlink inayotoa Huduma za Intaneti kwa kutumia 'Satelaiti' inakamilisha hatua za mwisho ili kupata vibali vya kutoa huduma nchini.

Ametoa kauli hiyo baada ya kuulizwa na Mdau kupitia X (zamani Twitter) kuhusu uwezekano wa Starlink kutoa huduma kwasababu Watoa Huduma waliopo Intaneti zao zinasuasua.

Nape ameongeza kuwa Starlink ikishatimiza taratibu zote itaanza kutoa huduma na kwamba Serikali inasubiri wakamilishe tu taratibu hizo. Ikumbukwe, moja kati ya Matakwa ilielezwa kuwa Starlink inatakiwa kuwa na Ofisi zake Tanzania.
Hivi DPW wana ofisi Tanganyika?
 
Hana kitu hapo!

Hizo taratibu ni mbinu ya mikataba ya upigaji tu!!
Hofu kubwa ya Tanzania ni kushindwa kuwa na udhibiti wa mtandao. I mean wamezoea kina Vodacom, Tigo etc ambao wanaweza kuwaendesha puta na kuwapa masharti na hata kuwafungia. Pia wanaweza kuwapa amri ya kuzuia website fulani fulani hasa zile zinazohoji mambo mabaya serikali. Hata hili la kufungua ofisi ni ili waweze kuwapa amari na kuwatishia.
 
Back
Top Bottom