JAY MTAALAM
JF-Expert Member
- Oct 5, 2014
- 1,594
- 1,384
Hivi hapa Tanzania kuna mtaalam/Wataalam wa Logistics au ndio wanapuuzwa na waliowakuta Ofisini?
Ovyo kabisa. Kila unalosikia unasema kama kasukuYa kutoka zanzibar ya sh 65000 kwa mfuko unakataza,ya india brazil sh 110000 mfuko unaikubali.Aliyetuloga afufuke
NASHAURI.. HII WIZARA APEWE MTU SERIOUS KAMA HUSSEIN BASHE, VINGINEVYO TUTAKUWA TUNAFANYA MAIGIZO TUPropagandist kupewa uwaziri wa viwanda na biashara!
viwandwa vitajengwa kipropaganda mpaka awamu hii iishe
Chaos and Order.wametatua tatizo walilosababisha wenyew,
Itakuwa! Nina wasiwasi ni viti maalum kupitia mkia wa Kagera kwa jinsi alivokaa kiujanjaujanja......hahahahaha
Hahahahaha.....May be they used to eat nyama choma pamoja mitaa ya Katoro, we never know! Kwa ile comedy lazima amkubali lakini!
Katoro ni full mseto....wanyarwandwa full full! Umenikumbusha Buseresere.....hahahahah
Kaskazini, kusini yupo mama yule wa pesa za escrow, le profeseri Anna
Yeah, nshamba moja, kamachumu kwa wasomi.
Kweli huyu ni propogandist aliyetokea China!Waziri wa Viwanda, Biashara na Uwekezaji, Charles Mwijage amesema nchi ina sukari ya kutosha na kilichojitokeza ni propaganda ya watu wasioitakia mema.
Akihitimisha hoja ya bajeti ya wizara yake ya mwaka 2018/19 leo Mei 11, 2018 bungeni, Mwijage amesema tayari ameagiza Shirika la Viwango Tanzania (TBS) na Mamlaka ya Chakula la Dawa Tanzania (TFDA) kuiondoa sukari yote iliyopo bandarini.
Amesema yeye ni mcha Mungu na asingependa kuona Waislamu wanaotarajia kuingia katika mfungo wa Ramadhani wanapata shida ya kupata sukari.
Waziri Mwijage amesema hakuna tatizo la sukari kwani kuna akiba ya sukari tani 43,000 iliyopo katika stoo.
“Lakini Tanzania tunatumia tani 40,000 kwa mwezi,” amesema.
Amesema amewaagiza mameneja wa TBS na TFDA kuhakikisha tani 20,000 ya sukari iliyopo bandarini inaondolewa.
“Viwanda vya sukari vyote bado kama wiki tatu vinaanza kuzalisha. Suala la sukari lilikuwa ni propaganga na mimi ni ‘propagandist’ niliyesomea China,” amesema.
Kuhusu mazingira ya uwekezaji, Mwijage amesema amekuwa akipigania kuyafanya kuwa rafiki na kuwaomba wabunge wanapobaini kuwapo kwa changamoto zozote waziwasilishe kwake na hatua zitachukuliwa.
Pia, amesema amepokea maoni na ushauri wote uliotolewa na wabunge na kuahidi kuufanyia kazi.