Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,625
Hawa ni wasaka vyeoKwenye tukio la leo amenza mkuu wa mkoa kumshambulia Lissu kuhusu alilosema la Rais kukaa miezi 9 na kukopa trillion 10.
Akaenda mbali na kusema kwanza hana mbunge hata mmoja Bungeni.
Lakini kwa uchaguzi ule ulivyokua mlitegemea Lissu mbunge amtoe wapi?
Wekeni mizani sawa alafu nendeni kwenye uchaguzi ndio muanze kumshambulia Lissu.
Mwigulu nae hakupaswa kuungana na mkuu wa mkoa kumshambulia Lissu, Bali hoja zake lakini nilichoona mmejibu juu juu tu.
Mwigulu anasema Kuna mikopo mmesaini ya world bank, Ila hujasema ni kiasi gani.
Lissu alikua na hoja na ni haki yake kuhoji.
Kama sasa mmeanza kushindwa kujibu hoja zake akiwa huko, akirudi?