Swet-R
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 5,613
- 8,042
MatakoTumechoka kuzungumzia hoja mfu za Lissu. Si chochote si lolote kwa nchi hii. Give us break. Kazi iendelee Mama.
MatakoTumechoka kuzungumzia hoja mfu za Lissu. Si chochote si lolote kwa nchi hii. Give us break. Kazi iendelee Mama.
Kereng'endeHuyo mnayemtetea hayuko nchini yapata miaka minne sasa na nchi inasonga kama kawa!
Tanzania haina mungu mtu, na mmwambie, nchi Haihitaji ushauri wake, na sio wa mhimu kuliko 60m ya watanzania!
Msujinga ujinga tuu, yeye ni mmoja tuu, hatuwezi kumfanya wa kumtegemea kiasi cha akili zenu zisifanye kazi!
Upuuzi mtupu
Lissu siyo MnyirambaLisu, Mwigullu na Makalla ni wanyiramba hao wanajuana!
sema we ndo uliechoka, usinijumlishe na mm tafadhali. Maana hta we s lolote kwenye nchi hiiTumechoka kuzungumzia hoja mfu za Lissu. Si chochote si lolote kwa nchi hii. Give us break. Kazi iendelee Mama.
Lisu ni MnyaturuLisu, Mwigullu na Makalla ni wanyiramba hao wanajuana!
Kwa hiyo huo 👆 hapo ni upupu, kama wa Lisu ni upuuzi?!Huyo mnayemtetea hayuko nchini yapata miaka minne sasa na nchi inasonga kama kawa!
Tanzania haina mungu mtu, na mmwambie, nchi Haihitaji ushauri wake, na sio wa mhimu kuliko 60m ya watanzania!
Msujinga ujinga tuu, yeye ni mmoja tuu, hatuwezi kumfanya wa kumtegemea kiasi cha akili zenu zisifanye kazi!
Upuuzi mtupu
Hata wewe umemchoka ndiyo maana kila akiitisha maandamano unadharau , hauendi. Alitoa wito tuingie mitaani, wote ukiwemo wewe hakuna aliyetii. Watanzania wote tumemchoka.sema we ndo uliechoka, usinijumlishe na mm tafadhali. Maana hta we s lolote kwenye nchi hii
Lissu ni Mnyaturu,Hao wengine wanyirambaLisu, Mwigullu na Makalla ni wanyiramba hao wanajuana!
Well said dude.Tumechoka kuzungumzia hoja mfu za Lissu. Si chochote si lolote kwa nchi hii. Give us break. Kazi iendelee Mama.
Lakini viongozi wako hawajachoka. Jisemee wewe kama wewe.Tumechoka kuzungumzia hoja mfu za Lissu. Si chochote si lolote kwa nchi hii. Give us break. Kazi iendelee Mama.
Ayanenayo mtu kimo ndani yake. Hongera na endelea na basha wako wa sasaLisu aendelee kulinda ndoa yake na amsterdam ya Tanzania hatayaweza
Ni msukumaLissu ni mnyiramba?
Kwanini kila mara mnashindwa kujibu hoja zake?Tumechoka kuzungumzia hoja mfu za Lissu. Si chochote si lolote kwa nchi hii. Give us break. Kazi iendelee Mama.
Wajibu hoja sio kumushambulia mtu na huyo wazir wa fedha anajua uwepo wa katiba mpya na tume huru ya uchaguz hawez kushinda uchaguz wowote uleKwenye tukio la leo amenza mkuu wa mkoa kumshambulia Lissu kuhusu alilosema la Rais kukaa miezi 9 na kukopa trillion 10.
Akaenda mbali na kusema kwanza hana mbunge hata mmoja Bungeni.
Lakini kwa uchaguzi ule ulivyokua mlitegemea Lissu mbunge amtoe wapi?
Wekeni mizani sawa alafu nendeni kwenye uchaguzi ndio muanze kumshambulia Lissu.
Mwigulu nae hakupaswa kuungana na mkuu wa mkoa kumshambulia Lissu, Bali hoja zake lakini nilichoona mmejibu juu juu tu.
Mwigulu anasema Kuna mikopo mmesaini ya world bank, Ila hujasema ni kiasi gani.
Lissu alikua na hoja na ni haki yake kuhoji.
Kama sasa mmeanza kushindwa kujibu hoja zake akiwa huko, akirudi?
Lissu ni Mnyakuru hao wengine Ni WanyilambaLisu, Mwigullu na Makalla ni wanyiramba hao wanajuana!
👌👌👌👌Lisu, Mwigullu na Makalla ni wanyiramba hao wanajuana!
Hili sikijua - ongeza gwajima na mkumbo unakuwa mkakati mzuri wa kupambana na Lissu. Hakika jamaa huyu Lissu huenda kawezesha mkoa mdogo wa singida kupata mawaziri watatu na mkuu wa mkoa dsm etc??Lisu, Mwigullu na Makalla ni wanyiramba hao wanajuana!