If this thing is true hii sasa ni Lipua Lipua Show if not Orchestra...
Hilo la watu wa Bagamoyo kupaki hapo mbona dogo. Hivi hajanona makubwa hapo Mwege. Ukiwa kituo cha Mabasi Mwenge unashindwa kutofautisha kati ya kituo cha basi na siku ya gulio Katerero.
Ni aibu kubwa mno. Hakuna njia, hakuna mahali pa magari kupaki. Vibaka kibao. Mwenge Bus stop is more than a disaster na a serious show down of uzembe na ufisadi katika masuala ya mipango miji.
Kuna ufisadi mkubwa sana pale hasa katika collections. Ikifanyika stori ya uchunguzi hapo kutaibuliwa masuala ya ajabu. Naona Richard Makore wa Nipashe amekuwa akijaribu kugusa gusa. Asonge mbele. Watu wanafanya collection kubwa pale bila kulipa kodi hata thumuni...
Ok huko Makumbusho nako mbona kulishaharibika siku nyingi. Mtanzania waliandika stori hiyo zaidi ya miaka miwili iliyopita. Londa, aliyekuwa Meya wa Kinondoni (kumbuka kesi ya Londa na Makamba Vs Halima Mdee, Kamati ya Kanuni, Kinga na Madaraka ya Bunge) alihusishwa katima hilo deal. Hakuna hatua iliyochukuliwa.
Back to Mwakyembe, if this report is true kuwa ulikuwa pale na kilichoandikwa ndicho kweli kimejiri, can't u plz do a little research. Usisahau kuwa serikali yako imeoza kama mti wa mbuyu, ambao unakuwa umeoza ndani kote, lakini kwa nje unaonekana mkuuuuuuuuuuuubwa, ni suala la time to ya wawindaji kuugusa hata kwa bahati mbaya tu unaanguka.
Hilo la Mwenge mbona ni show ndogo tu kati ya shows nyingi na kubwa zinazodhihirisha kuwa u have failed this nation almost in every walks sphere of life, elimu, afya, maji, miundombinu, n.k, halafu eti muendelee kuaminiwa kuongoza! What.
Poleni Watanzania.