Waziri Mulugo: Tanzania ilitokana na muungano wa visiwa vya Pemba na Zimbabwe

Wewe pia inaonekana ni opportunist tu. Most likely you didn't have a damn clue about what you wrote earlier and were apparently blindly supporting till now. Unfortunately, its too little, too late. We moved on from that earlier point.

Ni kufahamishana na kuelimishana tuu.

Kama kuna sehemu nimekosea niko tayari kusahihishwa pia.

Opportunism itanipeleka wapi? I'm not that sort of person.

Wewe mwenyewe ndiye uliyeweka link, tena ukatupa na specific pages za kusoma.

Nimesoma hizo specific pages na kukuta hayo niliyoandika. Au ulitaka na mimi niseme "Zimbabwe" badala ya "Zanzibar"?

I wanted to put my own source which is more authoritative lakini nikaamua kutumia hiyo yako kukujibu.

Probably wa kumlaumu siyo mimi bali hiyo link uliyotoa mwenyewe particularly the specific pages you insisted that we should read.

Kusema it is "too late" ni excuse tuu. Kuna posts za tokea mwaka 2006 humu bado zinajibiwa leo ndiyo sembuse post yako ya jana?

Next time try to find a more authoritative source maana hata hiyo article yenyewe inajichanganya

Kwa hiyo umekubaliana na niliyosema kwa mujibu wa link na specific pages ulizotoa?

Kweli wabongo hatupendi kujisumbua. Hebu kaperuzi kidogo huko utuletee jibu sahihi na source.

It is not too late.
 
Hili jamaa sio liTanzania, limepika makaratasi yake, JK kayanunua na kumpa Uwaziri. Mtoto wangu yupo STD 4 anajua Tanzania ni muungano wa Tanganyika na Zanzibar, Zanzibar ni Unguja na Pemba.
 
Msimtetee mnasema nini? Ninyi watu....huyu waziri amekosea sana na hata hafai kuwa waziri. Hili kosa sidhani kama kuna mtu anayeweza kukosea hivyo.....siyo kawaida kukosea hivi. Naweza kukubali kosa lolote lakini si hili.
 
Asubuhi hii naibu waziri mulugo ataongelea lile sakata la muungano wa zimbabwe na tanganyika akiwa clouds fm,so tune to clouds fm usikie utetezi wake
 
Ni matokeo ya kutumia wanafamilia kuchagua mawaziri/viongozi badala ya kuwafanyia vetting kwa mujibu wa taratibu. Sio CV yake wala historia yake ya maisha wala elimu yake vinam-favour kushika hiyo nafasi kama mtangulizi wake mwantumu.

Mwantumu wa mama Salma Mulugo wa Riz1 on top Kawambwa mtoto wa Binamu....Kwa ujumla hii wizara inachezewa kwani sioni kama kuna anayestahili kuwapo pale. Hii ndio CCM na hao ndio watendaji aliowaamini Mheshimiwa DKT Jakaya Mrisho Kikwete rais wa awamu ya nne wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Kidumu chama chetu!
CCM Oyeeeeee!!!!
 
huyu jamaa katuabisha sana. Yani katufanya tuonekane viraza kabisa sa yeye kama ndiye waziri wa elimu na hajui hata tanzania imetokana na nini, je wenzetu si watashangaa ni elimu ya namna gani anayoisimamia nchini
 
Back
Top Bottom