Punguza mahaba mkuu. Ng'ombe waliopigwa mnada toka Rwanda ni wengi kuliko hao wa kutoka Kenya.Anaweza kuwachoma wa Kenya lakini si wa Uganda AU Rwanda
Punguza mahaba mkuu. Ng'ombe waliopigwa mnada toka Rwanda ni wengi kuliko hao wa kutoka Kenya.Anaweza kuwachoma wa Kenya lakini si wa Uganda AU Rwanda
Labda alimaanisha askari wa mifugo..Kumbe waziri wa mifugo na uvuvi anaweza kuwafukuza kazi askari......nmejua Leo mie.
Hajui alichochoma ni uhai ( Roho katili.)Hawa waishamjulia bosi , ukiwa katiri ni lazima upande cheo , msishangae kuja kusikia Mpina kawa Waziri Mkuu .
Sheria ndiyo inaelekeza hivyo! Kwa ndege wakikamatwa kama ambavyo wanafanya kwenye bidhaa wanavyovichoma moto! Tuwe watafiti wa mambo kabla ya kupinga kila kitu! Mbona bidhaa nyingi tu huwa zinachomwa moto na huwa hamsemi zirudishwe ziliko toka?
That, in my opinion, was a very stupid thing to do.Hivi hivyo vifaranga walivipima kujiridhisha kuwa vina ugonjwa au walivichoma tu kwa kuvihisi? Mbona walikataa visirudishwe vilikotoka?
Una hurumia huyo mfanyabiashara wa vifaranga na vifaa vya madukani na pharmacy ambao bidhaa zao huwa zinachomwa moto?? Kwa kuwa sheria imetamka hivyo then you need to comply with the country laws mkuu!Kama wangekuwa wamepimwa na waakakutwa na Maradhi ni hadi kuwachoma.Serikali ingekuwa hata fine tu na si kuchoma mtaji wa mtanzania mwenzetu
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine alizokuwa anatumia kuingiza vifaranga kutoka nje ya nchi hawezi kurudia tena
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote
Unamaanisha wote wana ndevu ,baba ndevu mtoto ndevu.Tanzania kwa sasa ni kama kambale
ajulikani mdogo au mkubwa,mke au mme.nchi tumewapa wasiojitambua ni shida tu kwa sasaTanzania kwa sasa ni kama kambale
Hii ni zaidi ya roho mbaya, yaani Serikali imekuwa kama mtu binafsi duuh..
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine alizokuwa anatumia kuingiza vifaranga kutoka nje ya nchi hawezi kurudia tena
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote