kiatu kipya
JF-Expert Member
- Dec 4, 2016
- 3,269
- 1,976
Mambo mengine si hata ya kuchangia achilia mbali kuyajadili
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine alizokuwa anatumia kuingiza vifaranga kutoka nje ya nchi hawezi kurudia tena
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote