sungusungu
JF-Expert Member
- Dec 21, 2012
- 3,055
- 715
Mmmmh!!@
Hapo wangeonesha human faceMwenye vifaranga angekuwa mtu wa Chato wangevichoma moto?
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine alizokuwa anatumia kuingiza vifaranga kutoka nje ya nchi hawezi kurudia tena
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote
Waziri wa Ufugaji na Uvuvi Luhaga Mpina amesema serikali ilichoma moto vifaranga 6000 kutoka Kenya ili kuzuia magonjwa ya ndege na kuteketeza mtaji wa aliyevileta ili kama kuna njia nyingine alizokuwa anatumia kuingiza vifaranga kutoka nje ya nchi hawezi kurudia tena
Na amesema askari waliohusika kamawasingechoma moto vifaranga vile, basi angewafukuza wote
Mmejawa na roho mbayaaaaaaAma kweli CHADEMA ni wasaliti, hawana uzalendo hata chembe. Kifo cha mafuacya ndege kibstusha, tungepukutika wote kama panzi. Kama hawo kuku wangeachwa, wasingechomwa hasara kwa nchi yetu haipimiki. Wanawatetea? Si ndiyo hawa hawa walitusaliti na ndege ya Bombardier wakawapa maadui wetu ushauri ba nyaraka za kisheria wakakamata ndege yetu? Hawa ni wenzetu kweli, au ni Wakenya kusirisiri?
Chomeni na ng'ombe. Kwani ndigana nayo si hatari? Tujue mnajua kufuata sheria. Hujui usemachoAma kweli CHADEMA ni wasaliti, hawana uzalendo hata chembe. Kifo cha mafuacya ndege kibstusha, tungepukutika wote kama panzi. Kama hawo kuku wangeachwa, wasingechomwa hasara kwa nchi yetu haipimiki. Wanawatetea? Si ndiyo hawa hawa walitusaliti na ndege ya Bombardier wakawapa maadui wetu ushauri ba nyaraka za kisheria wakakamata ndege yetu? Hawa ni wenzetu kweli, au ni Wakenya kusirisiri?
Hii ni awamu ya vichaa watupuHii ni zaidi ya roho mbaya, yaani Serikali imekuwa kama mtu binafsi duuh..