Ila aharibu hilo bwawa italazimika atumie anga la Sudan au Eritrea jambo ambalo hizo nchi haziwezi kukubali.
Unawaza hapo vita itakuwa ni ya nini kwa mfano? Misri kutaka kutawala Ethiopia au kuchukua mto? Fahamu huo mto haupo mpakani.Ethiopia hana jeshi la kukabiliana na jeshi la misri.
Italy iliyosumbua world war ndo iliyochapwa na Ethiopia........kwenye vita kuna mengiEgypt yuko kwenye rank sawa na uturuki,pakistan, hapa duniani wako kwenye top 15 ya military power
Linapo kuja kwenye suala la vita usilete hadithi za zamani dunia inabadirika kwa kasi ya ajabu.Italy iliyosumbua world war ndo iliyochapwa na Ethiopia........kwenye vita kuna mengi
6 day war na Israel Misri alichapika kama mtoto mdogo na wakati huo alikua na jeshi la kuogopwa kwa mashariki ya kati......vita mbinu tu we jaza mavifaa ila ukiotewa unakua mpole........kwa sasa ukanda ule saudi arabia ndo anajeshi lenye nguvu ila kuzichapa tu na Yemen kapelekeshwaLinapo kuja kwenye suala la vita usilete hadithi za zamani dunia inabadirika kwa kasi ya ajabu.
Kujaribu kulinganisha vita vilivyo piganwa miaka zaidi 80 iliyo pita na vita inayo piganwa sasa hivi unakosea.
Kila siku nimekuwa nikisisitiza ya mwamba Ethiopia hana uwezo wa kuikabili misri kijeshi huo ndio ukweli tukiachana na ushabiki.
Misri na Ethiopia hawajashea mipaka kwa hiyo vita yao itakuwa ya angani, sasa niambie Ethiopia ina jeshi gani la anga lenye uwezo wa kuivamia anga ya misri?
Je Ethiopia ina mifumo gani ya ulinzi imara yenye uwezo wa kukabiliana na jeshi la anga misri lililosheheni ndege na makombora ya kisasa?
Misri ni kati ya nchi yenye jeshi la anga lenye nguvu kubwa sana duniani,juzi BBC walitoa takwimu za majeshi yanye nguvu duniani misri iko nafasi ya 9 kidunia wakati Ethiopia hata kwenye 70 bora hayupo.
Kinacho takiwa ni wakae waone ni jinsi gani wataumaliza huu mgogoro kwa amani, ila tofauti na hapo Ethiopia itapoteza pakubwa mno, ukweli ni lazima usemwe.
Nimesha kwambia acha kulinganisha vita ya wakati huu na vita iliyo piganwa miaka 70 iliyo pita.6 day war na Israel Misri alichapika kama mtoto mdogo na wakati huo alikua na jeshi la kuogopwa kwa mashariki ya kati......vita mbinu tu we jaza mavifaa ila ukiotewa unakua mpole........kwa sasa ukanda ule saudi arabia ndo anajeshi lenye nguvu ila kuzichapa tu na Yemen kapelekeshwa
Misri hawezi kudiriki kubomoa Hilo bwawa, kitakachotokea Ni Vita ya milele!Zinahitajika ndege tu hata tano kuharibu hilo bwawa,ethiopia hana air defence nzuri na hata jeshi lake la anga sio imara kama la misri
Ila aharibu hilo bwawa italazimika atumie anga la Sudan au Eritrea jambo ambalo hizo nchi haziwezi kukubali
Watatumia standoff missile ,fire and forgetIla aharibu hilo bwawa italazimika atumie anga la Sudan au Eritrea jambo ambalo hizo nchi haziwezi kukubali.
Misri hawezi kudiriki kubomoa Hilo bwawa, kitakachotokea Ni Vita ya milele!
Hivi neno "DIKTETA" unajua maana yake? Yaani kiongozi anatetea nchi yake unamuita DIKTETA?Ni kauli ya kawaida kabisa ya madikteta. Hata kama wakati ule hawakutawaliwa, kwa sasa kichapo chawezekakana.
Swali huo uwezo wa kukaza mpaka mwisho anao?Acha basi kuwatumikia mabeberu, maji yapite kwako usijatumie kisa mmarekani kasema?
Sasa na wewe unasema Ethiopia hawana uwezo umejua na wao watapata sapoti toka wapi? Hizi mambo hazina mzoefu ..........na element kubwa ya ushindi kwenye vita ni suprise ndo maana majeshi mengi hayatoi taarifa zake zote za utayari wao wa kivita.........Huyo Misri alikua na jeshi la anga kubwa kuliko Israel ila alizidiwa maarifa tu kidogo akatelezaNimesha kwambia acha kulinganisha vita ya wakati huu na vita iliyo piganwa miaka 70 iliyo pita.
Aya niambie Ethiopia atatumia mbinu gani kuipenya mifumo ya ulinzi ya misri ambayo ni ya kisasa na yenye uwezo kuishambulia misiri na hizo ndege zake za miaka ya 60.
Hii vita ingekuwa ngumu kwa misri iwapo ingekuwa ina piganwa ardhini lakini sio angani mkuu jaribu kuwa muelewa.
Hata hiyo Israel unayo isema hata yenyewe ilishinda hivyo vita baada ya kufanya mashambulizi ya anga ya kushutukiza kitu ambacho Ethiopia hana uwezo huo.
Kwenye suala la yemen huwezi sema eti wahuthi ni dhaifu wakati wanapokea silaha kali na za kisasa kutoka Iran kuanzia Makombora ya masafa marefu,ndenge zisizo na rubani zenye uwezo wa kurusha makombora.
Trump alicho maanisha ni kutuma ndege za vita (Bombers) kupiga mabomu bwawa la uzalishaji Umeme huko Ethiopia na sio Misri kupeleka majeshi ya uvamizi huko Ethiopia.Ethiopia hana jeshi la kukabiliana na jeshi la misri.
Linapo kuja kwenye suala la vita usilete hadithi za zamani dunia inabadirika kwa kasi ya ajabu.
Kujaribu kulinganisha vita vilivyo piganwa miaka zaidi 80 iliyo pita na vita inayo piganwa sasa hivi unakosea.
Kila siku nimekuwa nikisisitiza ya mwamba Ethiopia hana uwezo wa kuikabili misri kijeshi huo ndio ukweli tukiachana na ushabiki.
Misri na Ethiopia hawajashea mipaka kwa hiyo vita yao itakuwa ya angani, sasa niambie Ethiopia ina jeshi gani la anga lenye uwezo wa kuivamia anga ya misri?
Je Ethiopia ina mifumo gani ya ulinzi imara yenye uwezo wa kukabiliana na jeshi la anga misri lililosheheni ndege na makombora ya kisasa?
Misri ni kati ya nchi yenye jeshi la anga lenye nguvu kubwa sana duniani,juzi BBC walitoa takwimu za majeshi yanye nguvu duniani misri iko nafasi ya 9 kidunia wakati Ethiopia hata kwenye 70 bora hayupo.
Kinacho takiwa ni wakae waone ni jinsi gani wataumaliza huu mgogoro kwa amani, ila tofauti na hapo Ethiopia itapoteza pakubwa mno, ukweli ni lazima usemwe.