PreGE2025 Waziri mkuu: Serikali tutahakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na utulivu, Tume huru ya uchaguzi wametuambia watausimamia kwa uhuru, haki na uwazi

PreGE2025 Waziri mkuu: Serikali tutahakikisha uchaguzi unakuwa wa amani na utulivu, Tume huru ya uchaguzi wametuambia watausimamia kwa uhuru, haki na uwazi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408

"Tume huru ya uchaguzi wametuambia watausimamia kwa uhuru, haki na uwazi" Tume ipi hiyo ? ambayo imechaguliwa na Samia/CCM??​

 
"HAKI" ndio italeta Amani + Utulivu, na si vinginevyo

Sijui hawa CCM wanalielewa hilo...!!
 
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408
Eti tume wametuambia🤣🤣🤣🤣
 
Hivi ni vichekesho Toka Kwa PM,Sasa wewe kama mgombea wanakuambia ili iweje,kwanini act hawaambiwi!?

Huu ni ushahidi mwingine kuwa tume ya uchaguzi ni ya CCM
 
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408
Majaliwa ogopeni Mungi kwani mwaka jana 2024 Boss wako aka Presida alisemaje? na mambo yalikuwaje??????
Oneni aibu na iwatume kunyamaza.
Nani kaiteua hiyo inayoitwa Tume huru? Si ni mgombea urais wa CCM? Nani kawateua returning officers (wakurugenzi wa Halmashauri aka maafiaa waandamizi) wa Tume hiyo si ni mgombea huyo huyo wa CCM!!!!!
Acheni kutufanya viazi na vilanza wenu.
 
Hivi huwa hainiingii akilini kuwa wasioweza kujaza kale ka simple form ya mgombea ni wapinzani tu .Yaani huyo huyo akiamia CCM form anaweza kujaza haina makosa walahi.Mimi hamnioni ng'ooo heti mkanipake mawino yenu ,nipange mstari bora nilime mboga zangu nile kwa kweli
 
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408
WW MPAKA PIKO NN ANAWEZA KUWAAMINI TENA? WW HT UNACHOKNGEA HUKIAMINI NA MACHO YK YANAOMGEA HAKITOKI MOYONI. NO REFORMS NO ELECTION
 
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408
Mzee Majaliwa kama kukemea wizi na mengine imekuwa nguvu isipokuwa kuchukua haki za watu e.g LBL,basi hata hili mkuu hamliwezi
 
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408
Mnasubiri wapinzaniwatie pua zao kwenye uchaguzi muwapige za uso kama miaka ya nyuma. Hivi kuna ugumu gani wa kuondoa kasoro zinazotajwa na wapinzani kwenye tume ya uchaguzi
 
Huyu siyo wa kumwamini hata kidogo. Amejaa ushetani. Mwaka 2020 alifanya ushetani wa hali ya juu ili apite bila kupingwa. Ndiye aliandaa mauaji ya mpinzani wake aliyetekwa na watu wake, wakampiga na kumwacha mahtuti, akanusurika kufa, akiwa mahtuti hospifali, yeye akatangazwa amepita bila kupingwa. Kinyume cha katiba inayotaka PM awe mbunge aliyechaguliwa, yeye akatangazwa PM, akiwa hana kura hata 1 ya kupigiwa na mtu yeyote.

Huyu ni mwongo, ni shetani. Apuuzwe.
 
"2025 huu ni mwaka wa uchaguzi, sisi kama serikali, kama wadau wa uchaguzi, pindi tume huru ya uchaguzi watatoa ratiba tunatarajia nyie ndiyo mtalieleza taifa (Wanahabari) na sisi ushiriki wetu ni kuhakikisha kwamba yale yaliyo muhimu ya kuufanya uchaguzi huu kuwa wa usalama, na kila mmoja atakwenda kushiriki kwa usalama wake.. Na watu wa tume huru ya uchaguzi wametuambia kwamba uchaguzi huu watausimamia kwa uhuru na haki na uwazi. Na sisi serikali kama wadau wa uchaguzi tunataka tuwahakikishie kuwa uchaguzi huu utakuwa ni wa amani na utulivu" -

Waziri mkuu Kassim Majaliwa ameyasema hayo katika Maadhimisho ya Uhuru wa Vyombo vya Habari, (World Press Freedom Day 2025) yaliyofanyika jijini Arusha leo Aprili 29, 2025 kwenye Hoteli ya Gran Melia

View attachment 3319408
Chenga
 
Back
Top Bottom